Kwa lipi.??? Unajua wewe ninakustahii , tu kisa umesema we are friends nikaona ubuyu wako mpya misiseme ninao mkubwa hausu mutu humu ila namezea hapa na dagaa
DepalLenie kuna kipindi kuliwakaga kama hivi kipindi kileee kulkua na ID moja inamwaga upupu selfika watu wanafyata wote Ile ID iliondokaga au imekuja kivingine
mie najua wapi nitakudakaaa.. ila pendaneni dada zetu, mbona sie wanaume tunapenda, tunaheshimiana na tunasaidiana.. ndani ya jf na nje.. msiwe wachawi banaaa
DepalLenie kuna kipindi kuliwakaga kama hivi kipindi kileee kulkua na ID moja inamwaga upupu selfika watu wanafyata wote Ile ID iliondokaga au imekuja kivingine