Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Faraja nakutafuta hauonekani?
Mawazo yananitinga moyo unauma faraja oooh!
Uniondoe upwekee, usiniache peke
Dunia imenitupa ndungu wamenitupa oooh!
Pesa hakuna, chakula hakuna
Matatizo makubwa, upweke umenikumba
Pesa hakuna, chakula hakuna
Matatizo makubwa, upweke, upweke, upweke eeh!

Faraja nakuita faraja, uko wapi faraja oooh!
Mawazo yanauwa faraja, nakuhitaji faraja ooh!
Faraja nakuita faraja, ukidhi yangu haja
Dunia inanichanganya, natafuta faraja oooh!

Wapo wengi sana, wakuhitaji faraja
Unikumbuke sana, nami ni wa mmoja
Ukifika kwangu, ukae mwaka mmoja
Tutembee pamoja, nitambe nawe faraja
Lakini ukija leo na uondoke keshoo
Utaniachia mawazo kichwani tele mawazo
Pindi mimi sina pesa, wengine wanatesa
Ninapokua nawaza uwa uwa nakuhitaji faraja oooh!

Faraja nakuita faraja, uko wapi faraja oooh!
Mawazo yanauwa faraja, nakuhitaji faraja ooh!
Faraja nakuita faraja, ukidhi yangu haja
Dunia inanichanganya, natafuta faraja oooh!

Nimezalishwa mwana, baba sijamuona
Nyumba niliyopanga karibu ninafukuzwa
Nimeshauza nyanya, maandazi hata karanga
Faida sikupata, sasa nafa na njaa
Ona barabarani wanavyo omba omba
Nenda kwao faraja, wanakuita faraja
Alau uje sasa ukae nami faraja
Mpaka lini mola maisha haya mabaya oooh!

Faraja nakuita faraja, uko wapi faraja oooh!
Mawazo yanauwa faraja, nakuhitaji faraja ooh!
Faraja nakuita faraja, ukidhi yangu haja
Dunia inanichanganya, natafuta faraja

Mwachi leo unanichekesha sana na hivi siko vizuri walau naona nafuu kwa hayo masikitiko yako
 
Old are gold


Rafiki yangu mpendwa naja kwako siku nyingi
wanipokea kwa uzuri siku zote
wakati sina wanipa nitakacho husiti

nisemacho kwako sawa waniombea mungu
moyoni mwangu najua nina rafiki huyu wa kweli
hakuna yule ambaye atakuja kati yetu
wakati sina wanipa nitakacho husiti
nisemacho kwako sawa waniombea mungu

Ooh kuna watu na viatu duniani
ooh kuna watu wasiopenda maendeleo
ooh ukiwa nacho chawauma ndani kwa ndani
achana nao, waepuke haraka sana
mwanaume piga kisha sepa😅

achana na mapenzi bro
 
Mwachi leo unanichekesha sana na hivi siko vizuri walau naona nafuu kwa hayo masikitiko yako
Nimpate vipi mi sijui
Nina imani mapenzi hayajui
Nitapata ugonjwa wa moyo
Kwa sababu ya mawazo
Ninavyo jua maisha yake
Hajawahi kuwa na boyfriend
Ila ni mimi wa kwanza
Na ninashindwa kumpata
Kwa ishara naonekana nampenda
Yeye eti mi namzingua
Eti kama angilikua anasikia
Basi ukweli wangu angeujua
Kwa ishara naoneka nampenda
Yeye eti mi namzingua
Eti kama angelikua anasikia
Basi ukweli wangu angeujua
Ningemzowea rafiki yake
Basi mi ningemtuma
Ningezitambua ishara zake
Kwake mi ningefika
Ningemzowea rafiki yake
Basi ningemtuma
Ningezitambua ishara zake
Kwake mi ningefika
Sicilia ninampenda
(Binti kiziwi)
Moyo wangu wamtaka
(Binti kiziwi)
Sicilia nateseka juu yake
(Yeye binti Kiziwi)
Sicilia ninampenda
(Binti kiziwi)
Moyo wangu wamtaka
(Binti kiziwi)
Kichwa kinauma mawazo
(Kwake binti kiziwi)
Nashangaa pale napomkuta
Akiwa na wenzake wanaongea
Huwa najiuliza mimi
Wanaongea naye vipi
Nashangaa pale napomuita
Nahisi huwa anakataa
Sijui ndio hasikii
Au mapozi au mapozi naye
Afadhari angejua kusoma
Hata hatari ujumbe ningempa
Eti kama ningejua ishara
Basi kwake ningefika mimi
Afadhari angejua kusoma
Hata bonge ujumbe ningempa
Eti kama ningejua inshara
Basi kwake ningefika baby
 
Nimekunya maji mengi, dawa naziogopa acha tyuu
Hapa shem wako ananiambia anataka kuja haelewi kabisaa
Ajee akuponyee uduguuu usimbaniee lol! Sipati picha nahayo mafua yalivokulegeza utavodekaaaa🤠;!

Ahje muenjoy kipenzi maisha ndio hayahayaaa!!
 
Nimekunya maji mengi, dawa naziogopa acha tyuu
Hapa shem wako ananiambia anataka kuja haelewi kabisaa
Udugu wee kama Mie Walai naogopa dawaa kama Mtoto!! Yani hata Panadol kumeza mi kasheshee 😁😁!!

Yeah unywe maji mengii yanasaidia sana!
 
Nimpate vipi mi sijui
Nina imani mapenzi hayajui
Nitapata ugonjwa wa moyo
Kwa sababu ya mawazo
Ninavyo jua maisha yake
Hajawahi kuwa na boyfriend
Ila ni mimi wa kwanza
Na ninashindwa kumpata
Kwa ishara naonekana nampenda
Yeye eti mi namzingua
Eti kama angilikua anasikia
Basi ukweli wangu angeujua
Kwa ishara naoneka nampenda
Yeye eti mi namzingua
Eti kama angelikua anasikia
Basi ukweli wangu angeujua
Ningemzowea rafiki yake
Basi mi ningemtuma
Ningezitambua ishara zake
Kwake mi ningefika
Ningemzowea rafiki yake
Basi ningemtuma
Ningezitambua ishara zake
Kwake mi ningefika
Sicilia ninampenda
(Binti kiziwi)
Moyo wangu wamtaka
(Binti kiziwi)
Sicilia nateseka juu yake
(Yeye binti Kiziwi)
Sicilia ninampenda
(Binti kiziwi)
Moyo wangu wamtaka
(Binti kiziwi)
Kichwa kinauma mawazo
(Kwake binti kiziwi)
Nashangaa pale napomkuta
Akiwa na wenzake wanaongea
Huwa najiuliza mimi
Wanaongea naye vipi
Nashangaa pale napomuita
Nahisi huwa anakataa
Sijui ndio hasikii
Au mapozi au mapozi naye
Afadhari angejua kusoma
Hata hatari ujumbe ningempa
Eti kama ningejua ishara
Basi kwake ningefika mimi
Afadhari angejua kusoma
Hata bonge ujumbe ningempa
Eti kama ningejua inshara
Basi kwake ningefika baby
Kuachwa kuachwa
Kuachwa ni shughuli pevu
Mbaya zaidi kwa yule uliye mpenda
Wewe una geuka mwana mashairi
Pluss presha na kuponda
Yeye Yuko bize, Wana mgonga😁😂🤣
Cc mshamba_hachekwi, Cute Wife, Penseli 4, Ms eyes, National Anthem, Unique Flower 🤗😁
 
Back
Top Bottom