Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Old are gold


Rafiki yangu mpendwa naja kwako siku nyingi
wanipokea kwa uzuri siku zote
wakati sina wanipa nitakacho husiti

nisemacho kwako sawa waniombea mungu
moyoni mwangu najua nina rafiki huyu wa kweli
hakuna yule ambaye atakuja kati yetu
wakati sina wanipa nitakacho husiti
nisemacho kwako sawa waniombea mungu

Ooh kuna watu na viatu duniani
ooh kuna watu wasiopenda maendeleo
ooh ukiwa nacho chawauma ndani kwa ndani
achana nao, waepuke haraka sana
 
Leo jioni nikiwahi kutoka Shambani nitatupia Casual, maana saivi shughuli za shamba zimenibana sana Babu yenu 🤪
Gran hujatoka huko shamba tu kwani??? Cute Wife anasubiria hio casual wear babuu do the needful pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!😊!!
 
Nategemea kuvuna Mwezi ujao wa Septemba, uzuri wake Dollar imepanda thamani dhidi ya shilingi ya Tanzania, kwahiyo inakuwa ni faida kwetu Wakulima 🤗
Santooo sana babuuu ukishavuna usimsahau na wajukuu zako kyurii wifee na Missy Gf babuuu😊😊!
 
Old are gold


Rafiki yangu mpendwa naja kwako siku nyingi
wanipokea kwa uzuri siku zote
wakati sina wanipa nitakacho husiti

nisemacho kwako sawa waniombea mungu
moyoni mwangu najua nina rafiki huyu wa kweli
hakuna yule ambaye atakuja kati yetu
wakati sina wanipa nitakacho husiti
nisemacho kwako sawa waniombea mungu

Ooh kuna watu na viatu duniani
ooh kuna watu wasiopenda maendeleo
ooh ukiwa nacho chawauma ndani kwa ndani
achana nao, waepuke haraka sana

Mapenzi yatakuua ushageuka Kwevo unaanza kutuimbia
 
Mapenzi yatakuua ushageuka Kwevo unaanza kutuimbia
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Kuna demu wangu tangu j4 ajajibu sms na nikipiga hapokei bora nikubaliane na hali
 
Tafuta pesa mapenzi waachie wenye mioyo ya chuma, tutakuzika shauri yako
Aya tuimbe
Ni safari ndefu, ya mwanadamu
Maisha na mapenzi, uwe mke ama mume
Mara moja kubahatika, maishani mwako
Kumpata mtu fulani, ambaye huwa ni maalum kwako
Kipenzi cha moyo wako, kati ya dhiki kubwa
Nimetambua na kuamini, kuwa kukutana kwetu
Mwanzo wa kutimia, kuwa ile ndoto yangu
Ya siku nyingi, kwani pendo letu linakua
Kulingana na wakati, kila siku maishani mwangu
Nilikuwa na ndoto, ya kumpata wangu mwenzi
Tufunge naye pingu za maisha
 
Aya tuimbe
Ni safari ndefu, ya mwanadamu
Maisha na mapenzi, uwe mke ama mume
Mara moja kubahatika, maishani mwako
Kumpata mtu fulani, ambaye huwa ni maalum kwako
Kipenzi cha moyo wako, kati ya dhiki kubwa
Nimetambua na kuamini, kuwa kukutana kwetu
Mwanzo wa kutimia, kuwa ile ndoto yangu
Ya siku nyingi, kwani pendo letu linakua
Kulingana na wakati, kila siku maishani mwangu
Nilikuwa na ndoto, ya kumpata wangu mwenzi
Tufunge naye pingu za maisha

Wacha wee mwenyewe umejaa mahaba hapo husikii la yeyote

Huyo wifi kweli kakushika huchomoki
 
babu itakua anasugua visigino kwanza
🤠🤠🤣🤣☺️☺️! Hataki wajukuu zake muanze kumchamba visigino vichafu wajukuu wenyewe watoto wa mama Samia 😁😁😁!
Ngoja tumsubiri !
Babuu Grahams Mrembo Kyuriii anasubiria naked yakoo hukuuu🗣️🗣️
 
! Hataki wajukuu zake muanze kumchamba visigino vichafu wajukuu wenyewe watoto wa mama Samia !
Ngoja tumsubiri !
Babuu Grahams Mrembo Kyuriii anasubiria naked yakoo hukuuu

Naisubiri hapa
Kichwa kimeniuma leo udugu flu imenishika, nashukuru ss hivi niko poa kidogo
 
Wacha wee mwenyewe umejaa mahaba hapo husikii la yeyote

Huyo wifi kweli kakushika huchomoki
Lady jaydee

Now

Umepika chakula huli, huoni chapoa?
Umpweke, mwenye moyo wa duni, twakuita soledad
Kula dada kwani huyo haji, eti yuko na washikaji
Na akirudi matokeo yake ugomvi hauishi
Uko alipo mbali na upeo wa macho yako
Atafanya baya atakalo bila idhini yako
Unangoja na kusubiri, utasubiri sana
Hatokeo kwako machoni hutomuona mwenzio
Uko na rafiki zako, kwako nyumbani kitako
Mkipeana michapo, huku mkicheka na vicheko oh
Wawapa habari zako, jinsi bwana anavyokutenda
Hutojua moyo wake, kwani ni vigumu kufungua moyo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
Mmelala ni usiku sana, usiku wa manane
Akili yake kumbe yamuwaza akiwa na mwingine
Milio ya simu na ujumbe mfupi vinazidi kwa sana
Ukimuuliza bwana kulikoni utaambiwa ni story
Nao moyo wako punde, unaanza kwenda mbio
Mara usiku akuage kuwa anakwenda kutukio
Muulize ni wapi pande, hatokujibu mwenzio
Mara na siku zingine simu yake iko bize nusu saa
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
Angeujali moyo wako, asingekuumiza huyo
Angeacha atendayo ili wewe upate faraja ah
Lakini umuulizapo, juu yeye hukujia
Hathamini chozi lako, na wala halijali hilo lako pendo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
 
Lady jaydee

Now

Umepika chakula huli, huoni chapoa?
Umpweke, mwenye moyo wa duni, twakuita soledad
Kula dada kwani huyo haji, eti yuko na washikaji
Na akirudi matokeo yake ugomvi hauishi
Uko alipo mbali na upeo wa macho yako
Atafanya baya atakalo bila idhini yako
Unangoja na kusubiri, utasubiri sana
Hatokeo kwako machoni hutomuona mwenzio
Uko na rafiki zako, kwako nyumbani kitako
Mkipeana michapo, huku mkicheka na vicheko oh
Wawapa habari zako, jinsi bwana anavyokutenda
Hutojua moyo wake, kwani ni vigumu kufungua moyo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
Mmelala ni usiku sana, usiku wa manane
Akili yake kumbe yamuwaza akiwa na mwingine
Milio ya simu na ujumbe mfupi vinazidi kwa sana
Ukimuuliza bwana kulikoni utaambiwa ni story
Nao moyo wako punde, unaanza kwenda mbio
Mara usiku akuage kuwa anakwenda kutukio
Muulize ni wapi pande, hatokujibu mwenzio
Mara na siku zingine simu yake iko bize nusu saa
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
Angeujali moyo wako, asingekuumiza huyo
Angeacha atendayo ili wewe upate faraja ah
Lakini umuulizapo, juu yeye hukujia
Hathamini chozi lako, na wala halijali hilo lako pendo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo
Usijigambe ye akupenda
Hujui akitoka ni nini afanyalo kwako
We wampenda
Katu usiusemee moyo wa mwenzi wako uh woo

Unajitahidi kwa kweli
Ko unajifariji mwenyewe???
 
Jifariji mwaya bro ila mapenzi usiyazingatie yatakuua
Faraja nakutafuta hauonekani?
Mawazo yananitinga moyo unauma faraja oooh!
Uniondoe upwekee, usiniache peke
Dunia imenitupa ndungu wamenitupa oooh!
Pesa hakuna, chakula hakuna
Matatizo makubwa, upweke umenikumba
Pesa hakuna, chakula hakuna
Matatizo makubwa, upweke, upweke, upweke eeh!

Faraja nakuita faraja, uko wapi faraja oooh!
Mawazo yanauwa faraja, nakuhitaji faraja ooh!
Faraja nakuita faraja, ukidhi yangu haja
Dunia inanichanganya, natafuta faraja oooh!

Wapo wengi sana, wakuhitaji faraja
Unikumbuke sana, nami ni wa mmoja
Ukifika kwangu, ukae mwaka mmoja
Tutembee pamoja, nitambe nawe faraja
Lakini ukija leo na uondoke keshoo
Utaniachia mawazo kichwani tele mawazo
Pindi mimi sina pesa, wengine wanatesa
Ninapokua nawaza uwa uwa nakuhitaji faraja oooh!

Faraja nakuita faraja, uko wapi faraja oooh!
Mawazo yanauwa faraja, nakuhitaji faraja ooh!
Faraja nakuita faraja, ukidhi yangu haja
Dunia inanichanganya, natafuta faraja oooh!

Nimezalishwa mwana, baba sijamuona
Nyumba niliyopanga karibu ninafukuzwa
Nimeshauza nyanya, maandazi hata karanga
Faida sikupata, sasa nafa na njaa
Ona barabarani wanavyo omba omba
Nenda kwao faraja, wanakuita faraja
Alau uje sasa ukae nami faraja
Mpaka lini mola maisha haya mabaya oooh!

Faraja nakuita faraja, uko wapi faraja oooh!
Mawazo yanauwa faraja, nakuhitaji faraja ooh!
Faraja nakuita faraja, ukidhi yangu haja
Dunia inanichanganya, natafuta faraja
 
Back
Top Bottom