Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mjep

Hivi unavonikaushiaa hivyoo, rangi yangu hii uliwahi kuipata wapiii? Si ulikua unakutana na wamongoli wa Tanzagiza wee?

Nasema usinitaniee natakaa vochaaaa, usitake kunifubazaa puliiiizzzzz, rangi yangu Adimu hii.

 
TUPATE WAZAMINI KIDOGO


hv ukimuona Roma unakumbuka nn au ukimuona gwajima unakumbuka nn ukikutana Na menina we utakumbuka nn m nkimuona amberluth x ntakumbuka nn we baba levo chawa mwijaku kunguni kapata deal kamxahau mhunii akili za chawa kama katuni kamuomba hela boss amupeleke mkewe xaloon alaf brother ww matajir unawaweza au unaendaga kwa babu kuwatengeneza kuxema kwelii tena brother unakomexha yani umemuacha Mo umeenda kuimba Na bakhresa nna tatizo Na Mo kweny redio yake kuna matafali yangu tetea hawez kuwa ka jogoo kweny harakat ya kutok kachimba Na viatu vyangu woyo woyo chombo iko xawa woyo woyo Haina kuchimba dawa woyo woyo chombo iko xawa Haina kuchimba dawa woyo woyo chombo iko xawa Haina kuchimba dawa
 
Mjep

Hivi unavonikaushiaa hivyoo, rangi yangu hii uliwahi kuipata wapiii? Si ulikua unakutana na wamongoli wa Tanzagiza wee?

Nasema usinitaniee natakaa vochaaaa, usitake kunifubazaa puliiiizzzzz, rangi yangu Adimu hii.

Wamongoli watanzagize🤣🤣🤣🤣
Cheupe wangu
Usiwazeeeee
Pa kuweka napajuaa
 
Walahy mimi ,sitaki kitu sitaki chochote
Nataka mapenzi,
Kama sio hivyo mtanizika
Siumwi kitu siumwi chochote me
Naumwa mapenzi
Jama mwenzenu nimeridhika
Na Bado , akinipa ananipa
Na Kuna siku tunapaa
Funua funika aah..
Na tunafika kwenye paa

Eti will you marry me
Will you marry me?
Honey will you marry me
Mmh will you marry me ?

Eti will you marry me
Will you marry me?
Honey will you marry me
will you marry me ?

Mwenzenu niwaambieee
Sijawahi mimi
Kupendwa hivi
 
Kula chuma hiko, watu wenye virangi vyetu vya pesa View attachment 2707541
Walahy mimi ,sitaki kitu sitaki chochote
Nataka mapenzi,
Kama sio hivyo mtanizika
Siumwi kitu siumwi chochote me
Naumwa mapenzi
Jama mwenzenu nimeridhika
Na Bado , akinipa ananipa
Na Kuna siku tunapaa
Funua funika aah..
Na tunafika kwenye paa
Eti will you marry me
Will you marry me?
Honey will you marry me
Mmh will you marry me ?
Eti will you marry me
Will you marry me?
Honey will you marry me
will you marry me ?
Mwenzenu niwaambieee
Sijawahi mimi
Kupendwa hivi
 
Back
Top Bottom