Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ndio mkuu tulifika hatua mnzuri sana kwaza tulianza mahusihano kipindi kibaya sana kwangu alinijari sana mpka nikawa sawa sijui nisemeje lakini nilikuwa simfwatilii sasa nilipo mpenda sana nikaanza wivu mfwatilia sana
Pole sana mwaisa, mjini ndivyo kulivyo.
Ila sisi kaka zako, tukiwa na National Anthem tutakusaidia
 
Usije kuwa wewe ndiyo unatupigiaga mahesabu ya deni letu la Taifa na kusemaga kila siku eti ni himilivu.


Yaani pamoja na kudaiwa ila tuna sifa ya kuendelea kukopesheka tu 🤪
Mkubwa mi sijaenda shule, ila nime jifunza Sana kuhusu uchumi na biashara.
👉Mbinu zipo nyingi mno, Hadi za kukwepa ko...I(hope ume elewa).
👉Sasa walio enda, SI ndo wata wanyoosha😂🤣 Grahams
 
Back
Top Bottom