Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,578
- 66,244
Hapo sahihi ila kuna wengine sisi ni dhaifu kwenye mapenzi kias tunashindwa kujiteteaSIo sifa ya mwanaume kupenda kijana ndio maana scripture inaseme "mwanaume MPENDE mkeo"..kwakua sio nature yetu kupenda..
Na angalizo la msingi ni hili, hata ukitokea kupenda, jitahidi ku contain hiyo feeling.
VIjana wa leo wengi mnakwama hapo



