Clayton Paul
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 2,129
- 4,393
Sepa ulitaka niandike nnWw ndio nini mwanetu ?
Sepa ulitaka niandike nnWw ndio nini mwanetu ?
🤣🤣🤣🤣 Dah! Rudi kundini kondoo nyie ndo mnaenda church kwa mwaka mara mbili, J5 ya majivu na ijumaa kuuUkitoa sala ya baba yetu na salamu maria nyingine nabaki tu kuwa bubu
Kusali sio kanisani tu lakn dont get it twisted 😄🤣🤣🤣🤣 Dah! Rudi kundini kondoo nyie ndo mnaenda church kwa mwaka mara mbili, J5 ya majivu na ijumaa kuu
Mkijitahidi bas sikukuu ya matawi na mkesha wa Xmas
Zingatia uhandishi Mpemba.Sepa ulitaka niandike nn
Yeah,jpli ijayo,tupitianeMilele amina. Kumbe tuliwahi wote misa ya kwanza
Dah.....View attachment 2703023
Back to Dom tukapigwe na vumbi tupauke
Eeh Mungu 😋😋😋View attachment 2703023
Back to Dom tukapigwe na vumbi tupauke
Yeah,jpli ijayo,tupitiane
Hatari sana , mkuuMzee umeuona huo Upaja.?
You can only imagine the rest.
Peace bro🤒
Hii mitaa kama sinza hivi 😃
Wala hata sio. Umefananisha hapa ni mikocheni mkuu.Hii mitaa kama sinza hivi 😃
Hako kanjia nimekafananisha na kama ile ya kwenda TLS kutokea huku sokoniWala hata sio. Umefananisha hapa ni mikocheni mkuu.
Sio kwawalioba hii
Simu gani hii if you don't mind😅