Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
It's furahi day.
Hapo kwa mbali, ingawa kunywea ndani pia kuna hatari ya kuwafundisha watoto kunywa kabla ya umri.
Mkwe mi nilijua utakuwa eksaitedi
Ndiyo..yawezekana sijaliuliza inavyotakiwaKulikuwa na swali pale?
Hapana mkwe, we unajua sitaki ya hivyo. Nataka ukiwa na bebe na baby.Mkwe mi nilijua utakuwa eksaitedi
Nizitumbue!!! Akuuuu.Hahsh...ukikabithiwa hilo fungu nishtue nikuelekeze wapi tukazitumbue
Khaaaah!! Shee ndio mmeamua kunidolishia?Ufikishe salama tafadhali




HahahahahaHivi kweli mdogo wangu unakubali kabisa kumvalisha mwenzako mapira? Mi sikubali![]()
Mbona umechana hapo jina langu jamaniiUpo pale pale pa siku ile.....?View attachment 1276051