Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,178
- 95,976
Mbona hamna 🙄😪Siogopi kama wewe
Mbona hamna 🙄😪Siogopi kama wewe
weyeee tuliaaa banaaa 😅😅😅😅... myie vitoto.. hamjawa na ushangazii... bado kabisaa namba FHiyo vina nyodo unamaanisha sisi ni watoto au
nasubiri na mie cha ukali nikuone 😬😬😔Siogopi kama wewe
Ukitumia updated version picha zinafunguka vzr.Kwakweli,napitwa kwa kila kitu.
Airtel Kuna dogo nime moa aijaze🤣🤣😅😅😅 ukweli ni upi sasa
Husahau kiongozi😁😁ilikuwa ni stori tu jamanikweli friendzone ya miaka 3 inakua worth the wait😂
😅😅😅 wana watu wao.. kama hutowaona hapa sahahu kuona pichaaaKumbe humu kila mtu na mtuwe!
Kuna ngoja niweke Kituo hapa huenda nikapata chochote kitu!
basi ndio mie 😅😅😅Airtel Kuna dogo nime moa aijaze🤣🤣
Nisha selfika🤗Oho abarikiwe sana.....haya tuletee kaselfie tucheke yaishe
Sambaza upendoKatuma mitandao yote, artel, halo, voda na tigo bro Mjep Hana baya💪
Kuna wadada wanakula P2 unaweza fungua pharmacy la P2 tumboniachane kulisha watoto wawatu P2..
View attachment 2697083
mshamba_hachekwi
Mwachiluwi
Intelligent businessman
Mzee wa kupambania
Tayari🤗, bado wewe🤣😂Sambaza upendo
For real I mean that, strategy yako Ni dhoofu🤣😂basi ndio mie 😅😅😅
Wenyewe wanawaita ma sponsawana watu wao.. kama hutowaona hapa sahahu kuona pichaaa
Though iam single, ila siwezi date mtu nisie na mipango nae💪.Kuna wadada wanakula P2 unaweza fungua pharmacy la P2 tumboni
ewaaaa sponsaaa akisemaaa tuuu... utashangaaaaa... ila kama mweupe kama mie unasaga sana menoo hapaaa 😅😅😅Wenyewe wanawaita ma sponsa
Huko siki Sasa🤔Wenyewe wanawaita ma sponsa
Haka hapaOho abarikiwe sana.....haya tuletee kaselfie tucheke yaishe
wanataka hata ukipambania namna gan hutoboi yaaniKuna wadada wanakula P2 unaweza fungua pharmacy la P2 tumboni
We ukiona tunajichanganya humu mnatuchukulia watoto???weyeee tuliaaa banaaa 😅😅😅😅... myie vitoto.. hamjawa na ushangazii... bado kabisaa namba F