Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,278
Watakua wametingwa kidogoo mambo ya weekend!!Leo wadau siwaoni au wameenda marathon
Watakua wametingwa kidogoo mambo ya weekend!!Leo wadau siwaoni au wameenda marathon
Yaani maswali yao sasa....wapi hiyo






Maana watu wapo marathon basi ni kasheshe ya mbuzi ndani ya sharaganya😆😆😆Watakua wametingwa kidogoo mambo ya weekend!!
Nitatulia humu nahitaji mrembo nimfanyia maajabu![]()


Makanjanja hahahahaaa!!Ulijuaje? Piem kuna vibaka sijawahi ona!!
Makanjanja tupuuuu!!!![]()
Yaani me nachekaga sana maana wakiona comment zangu wanakuja nazo pm kuzitolea maelezo sijui wanaogopaga nn hapa jukwaniKuna mmoja imebidi awe km rafikiangu sasa, maana ana vituko sijawahi ona afu huku jukwaani alivyo serious huwez amini yaani
Kuna wengine unamkataa anakuja na id nyingine ili akuvuruge![]()
Watakua wametingwa kidogoo mambo ya weekend!!
Muwe mnawasikoliza vijana wapone nyie waremboYaani me nachekaga sana maana wakiona comment zangu wanakuja nazo pm kuzitolea maelezo sijui wanaogopaga nn hapa jukwani

😊😊😊 We mchoyoooWewe tena kwenye kitengo chako hujawahi kufeli![]()
Me siachagi kusikiliza mtu mradi atoe sautiMuwe mnawasikoliza vijana wapone nyie warembo![]()
😊😊😊 Upo vyedaaa hata mbinguni sijawai ona mtoto mzuri kama weweShikamoo 😆😆😆😆
Ulienda lini tena😊😊😊 Upo vyedaaa hata mbinguni sijawai ona mtoto mzuri kama wewe
Makanjanja hahahahaaa!!



Mbona mapema sanaaUsiku mwema wapendwa mrare unonoooo!!
Wacha Nikapumzishe fuvu langu sasa!!💤😴💤😴😴💤💤💤💤💤!!
Daily mie nipo mbingunii 😊😊😊Ulienda lini tena
Hao wametoroka fbUdugu mpk niliona nifunge piem kuna member wamevurugwa wananitumia mpk mijulusi![]()
Khakhakhaaaaaaaa! Uwe na maneno mepesi malainii mnjombaaa hizo kmmmk utakwamaa 🤠🤠😁😁😁!!Hii kmmmk sio tusi.. mtoto nzuri kivumishi hichoo
Nitumie Malaika mmoja Nina Kazi naeDaily mie nipo mbingunii 😊😊😊