Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,508
- 203,233
Shemeji shikamoooo
Shemeji shikamoooo
Tege na kashape flani amazing!!!😍
Hakikisha mtoto wa mama mkwe hana upara 🤣🤣Ahhh hili lipozi naliiba!!!🤩🤩
Pilau tamu linaonekana 😍😍😋Uhhhhh!!! The cake looks extra yummy!!😍😍
Kweli huwa inachosha...labda itokee uwe umemiss sana pishi lako mwenyewe!!🥴
Njoo tule pilau sasa.....
View attachment 2692308
Pika kesho nije kulaPilau tamu linaonekana 😍😍😋
Sijui lini nipike jamani
Seriously??Ila leo ulizidish maji
SawaPika kesho nije kula
Akija avae pensi 🥰😍😁😁🙈🙈
Siku ntamleta humu aitikie shkamoo yake!😁
😂😂😂😂Hakikisha mtoto wa mama mkwe hana upara 🤣🤣
Kwakweli...maana mgeni mwenyewe ka 🙌🏾 👐🏾 😊Pilau tamu linaonekana 😍😍😋
Sijui lini nipike jamani
Sijawahi kumuona amevaa 🤔🤔Akija avae pensi 🥰😍
Ahahahah mimi napenda wali unyoooke wenyewe wanasema kuwa imechambukaSeriously??
Nyie ndo wale mnapikia watu wali/ pilau linatafunikaa kama mchele, kiini + ugumu kama wote
Nyama ziwe nyingiSawa
Usisahau fanta
Kukwama nini? Mie nawatazama nyie msio kwamaWewe sijui unakwama wapi
Siso tushakwama. Uku ohKukwama nini? Mie nawatazama nyie msio kwama
HahahahahaSiso tushakwama. Uku oh
Acha tu kakaHahahahaha
Kaza butiAcha tu kaka
Sitaki, roho inaniuma😂😂😂😂 muite aje tena emu