Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,231
- 50,052
Nakusalimia
Shkamoo LeeNakusalimia
Umeanza , nilitekwa 😂Shkamoo Lee
Ulipotelea wapi?
Nani alikuteka jamani Lee?Umeanza , nilitekwa 😂
Hujaacha hiyo tabia ?Nani alikuteka jamani Lee?
Hebu selfika tuone kama upo salama
Jamani LeeHujaacha hiyo tabia ?
Nionee vale
Ndugu yake nani kama sio babe wakeJamani Lee
Hebu tuone kama aliyekuteka hajakudhuru.
Vale sijui ametekana wapi na ndugu yake Wigelekelo
Wameamua wote kujitekaNdugu yake nani kama sio babe wake
Nmekutumia pmWameamua wote kujiteka
Lee nasubiri nikuone ati
Nataka hapahapaNmekutumia pm
Nywele huwa zinakua saa ngapi?
Mie sijawahi sijabahatika kuzionaPicha zangu zimetapakaa humu kama makopo jalalani😂
Hata ya zamaniSina mpya
🤣🤣🤣🤣Nywele huwa zinakua saa ngapi?
Juzijuzi tu ulikuwa umenyoa
Hii chombo si mchezo,imeumbika haswa