Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,253
- 90,452
HahahahaMie maneno tu..hakuna nae mla wala nini.. vibogoyo hawali mifupa
HahahahaMie maneno tu..hakuna nae mla wala nini.. vibogoyo hawali mifupa
Usije kunipa msala bhana mi sipo 😄😅😅😅😅😅 Nakuona tu una push subbie hapo.. na mkono wa mtoto Dr Lizzy na Ka kinywaji... Mlikuwa mnaenda wapi mzee
Nyíe wakimywa ndio watu wabayaHahahaha
😅😅😅😅 😅😅😅...Usije kunipa msala bhana mi sipo 😄
Yaani huyo National Anthem kazingua
Karibu sana mdogo wanguNext week nakuja Arusha
Huu ni muda wa Mwamba au sio???🤪🤪Hahahaaaaaaaa tulia kijana acha fujo 😄
Mie sina ubaya wowoteNyíe wakimywa ndio watu wabaya
HahahahahaHuu ni muda wa Mwamba au sio???🤪🤪
HajahaHuu ni muda wa Mwamba au sio???🤪🤪
Karibu sana mdogo wangu
Naandaa msafara wa kuja kukupokea

Kazingua sana!!! Sijajua nia yake....🤔Yaani huyo National Anthem kazingua
Walaji wanasemaga???🙄Mie maneno tu..hakuna nae mla wala nini.. vibogoyo hawali mifupa
Wanajf kazi kwetu kuandaa suti kuja kucheza kwaito 😄Huu ni muda wa Mwamba au sio???🤪🤪
Nilitaka waje kutoa ushahidi!!🤓Hao hawakuwepo.. mzabzab na Mzee wa kupambania wanajua mbona nilichezea kitasa
mume wa pili ni mume wa Siri 😅😅😅😅... Hawezi kujua
😅😅😅 Tuwe wawili tu, mie mme mdogo...Nilitaka waje kutoa ushahidi!!🤓
Nakuchukua we wa siri...alafu natafuta na mwingine wa siri zaidi!!!😁
Mara hii???Wanajf kazi kwetu kuandaa suti kuja kucheza kwaito 😄
Duh,unawapanga ki SIRINilitaka waje kutoa ushahidi!!🤓
Nakuchukua we wa siri...alafu natafuta na mwingine wa siri zaidi!!!😁
☺️☺️☺️ Walaji hawasemi.. alie shiba ulishawahi ona wapi ana fujoo.. Ila mwenye njaaaa sasaaa kila saaa manenoWalaji wanasemaga???🙄
Hapo inabidi niridhie Mwamba nae atafute bi mdogo na hiyo haikubaliki!!!🤨🤨😅😅😅 Tuwe wawili tu, mie mme mdogo...
Yeye Hana huo mpango..Hapo inabidi niridhie Mwamba nae atafute bi mdogo na hiyo haikubaliki!!!🤨🤨