Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,586
- 66,282
Nimevaaa na cheni ya gold kama ile ya diamondKama nakuona ullivyowakaaa hapo.😍
Nimevaaa na cheni ya gold kama ile ya diamondKama nakuona ullivyowakaaa hapo.😍
tumefika huku??😂nakuja.kwenu kula mihogo?
Sawa kula mzee nakuja arusha nitakaa wiki then manyara
Hapana tumefika njirotumefika huku??😂
Ahahah sina mapesa mkuu nipo.fokoroooo nasomesha mtto wa kakaUje na mihela mingi
Wuuuu jamani mbona utatufunika wote. Me nivaaje sasaNimevaaa na cheni ya gold kama ile ya diamond
Vaaa satini ya njano na na viaatu vye usiWuuuu jamani mbona utatufunika wote. Me nivaaje sasa
Tafuta hela totoo Hennessy sio chungu wala kalini kali....
kuna ile hennessy black ni chungu balaa😬
Na juu lemba la rangi gani?Vaaa satini ya njano na na viaatu vye usi
Blue iliyo ivaaa kama rangi ya jfNa juu lemba la rangi gani?
Joto kali ila linatukumbusha kutafuta pesahaya sasa niambie,
au hamna stori leo....
Asante sana bro.
Wee si nitatokelezeaBlue iliyo ivaaa kama rangi ya jf
huu ni unafki wa hali ya juu😂Asante sana bro.
Nimeitamani sana hiyo mihogo nabkachumbari, Umesahau pepsi baridiiii😀
Kweli field inalipa bro, ume advance sana toka kula mihogo mikavua leo unakula na kachumbari 😃
Ilo limepita kabisa ngoja nishibie makande nisije endea Sumburgh watu uko wavuvi wakila nyama chomaWee si nitatokelezea
Itabidi tukionana unipige picha kwenye aifon yako niweke dp wasapu