Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Morningmorning dear, how bout a morning
to brighten yo day


Feel blessed to have another blessed day!!
Morningmorning dear, how bout a morning
to brighten yo day





good morning my sister


8 hrs?? mara ya mwisho mimi kulala hayo masaa sikumbuki ilikuwa mwaka gani aisee,, hongera mno kwa kuzingatia masaa ya kulala.. mi huulizwa nalala masaa mangapi juu nachelewa kulala then nawahi kuamka!!
Good morning. Ratiba yangu ni kulala 8 hrs labda itokee tu mara moja moja sanaaaa. Hivyo mwili ushajiset ikifika muda wangu wa kulala usingizi debe.



hivi kumbe hii emoji (


) ni salamu enh?? Umeanza lini uswahili eti??
Jamani jamani
Umenisalimia, kuitikia imekuwa nongwa kweli?
Great View
@ Engineers Capacity Development Forum # Mtana Hall - Kijitonyama
Ye ndo atakuwa Pierre wa Twitter 😆Dotto kashindikana
Pole Mkuu, mwenyewe nimeingia night kali ya 6 usiku ili kuwahi event. Site visit nitakuwa SGRNingekuwa hapo leo ila ufala wangu wa kukesha umenigharimu, site visit wapi mkuu?
Ukisoma alichoandika mpaka urudie mara tatu ndo ueleweYe ndo atakuwa Pierre wa Twitter![]()




😂😂😂Ukisoma alichoandika mpaka urudie mara tatu ndo uelewe![]()
Jamani jamani 😋😋😋
Huyo baharia atakaye sogea karibu kwa binti kipenzi cha baba atapata tabu sana.
Kama ulivyo na baba naahHahahahahaha
Mimi naweza chat na mtu jukwaani kumbe hata pm hatujawahi fika!! Ila ukituona utadhani tunaishi mtaa mmoja