Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Yuko bize sana hana muda wa kupangilia vizuri maneno.
Kuna tweet zake zingine watu tunatoka kapa baadhi ya maneno tunafanya ku-assume tu![]()








Yule jamaa hapana aisee, ila nahisi ni.....
Yuko bize sana hana muda wa kupangilia vizuri maneno.
Kuna tweet zake zingine watu tunatoka kapa baadhi ya maneno tunafanya ku-assume tu![]()








Kama ulivyo na baba naah








, Nimeipenda sana hii Globe.Yani seriously nilikuwaga nahisi u guys ni kweli mko kwa relationship..mweh
Kabisaa, baba Naah mekuja kuona mguu wake juzi humu kwa huu uzi aki....
Hahahahahaha
Hapana jamanii!!!Yani seriously nilikuwaga nahisi u guys ni kweli mko kwa relationship..mweh
Yuko bize sana hana muda wa kupangilia vizuri maneno.
Kuna tweet zake zingine watu tunatoka kapa baadhi ya maneno tunafanya ku-assume tu![]()
Yule jamaa hapana aisee, ila nahisi ni.....
@Mshana Jr
Ko mwana keshakula shavu kimasihara masiharaYuko busy na Tigo na imemfikisha mbali sana
HahahahahahaDah.. Asavali
Mbona wala viungo vya mboga?

Nikuulize wewe!!hivi kumbe hii emoji (
) ni salamu enh?? Umeanza lini uswahili eti??
Pole sana.good morning my sister
8 hrs?? mara ya mwisho mimi kulala hayo masaa sikumbuki ilikuwa mwaka gani aisee,, hongera mno kwa kuzingatia masaa ya kulala.. mi huulizwa nalala masaa mangapi juu nachelewa kulala then nawahi kuamka!!
Shee shikamoo!
Nakupenda mimi jamaniSitaki![]()