Really Mungu anatupenda sana hakuna kubwa kwakeNilishapona hata huo ufa ulishaziba kwa uwezo wa Muumba. Sometimes Ukuu wa Allah ni wa juu Santa kuliko hata mambo yote yanayotupata kwenye huu ulimwengu tunaoishi
Nakazia🤣🤣Akina J mara joh 😂😂😂wachomwe tu
😂😂😂Nakazia🤣🤣
😂😂😂😂Really Mungu anatupenda sana hakuna kubwa kwake
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaweza kuzimia [emoji23][emoji23]
Huyo Musa alimkuta moze Tena awe Iyobo na viuno vile atasikitika Sana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JDNinywe nini sasa
Kwanini hamtaki majina yenu ojiiiKina J tumewakosea nini jamani🙆
Naona file la kina J liko kwa pilato🤣🤣🤣🤣Kumbe mpo hapa na hamsemi
Saint Anne
😀Kwakweli😂😂😂😂
Hakika kama vile Mangi anavyopenda Hela na Sisi Mungu anatupenda hivyo hivyo pamoja na kasoro na mapungufu tuliyo nayo.
File lenu nyie Lina lamination haliloi na mvua ni bampa to bampa🤣🤣🤣🤣Naona file la kina J liko kwa pilato🤣
Mwaka gani mkuu, na ulikuwa shule ganiKiburang'oma tumechukua Santa Chokaa kupaka kwenye mawe ya garden za shule
A class of 2001 pamoja na RC wa Mbeya wa Sasa hivi. Pale MisufiniMwaka gani mkuu, na ulikuwa shuke gani
Nilikiwa huko toka 1995.
Duh Yani mm nipo kwenye bukta la mzee wew uko kiburang'oma🤣🤣🤣maisha hayako fairMwaka gani mkuu, na ulikuwa shuke gani
Nilikiwa huko toka 1995.
Jamani msitufanyie hivyo, mbona tulikuwa mguu kwa mguu na Yesu kwa miaka mitatu na nusu? Tulikosea wapi kwani🙆File lenu nyie Lina lamination haliloi na mvua ni bampa to bampa🤣🤣🤣🤣
Misufini, kulikuwa na mwalimu maarufu sna anaitwa Kimanda.A class of 2001 pamoja na RC wa Mbeya wa Sasa hivi. Pale Misufini
😂😂😂😂Mlipoanza kujiita J ndo mliharibuJamani msitufanyie hivyo, mbona tulikuwa mguu kwa mguu na Yesu kwa miaka mitatu na nusu? Tulikosea wapi kwani🙆
Sio kwenye bukta upo kiunoni 😃Duh Yani mm nipo kwenye bukta la mzee wew uko kiburang'oma🤣🤣🤣maisha hayako fair
Usiniambie mrembo🤣🤣🤣Duh Yani mm nipo kwenye bukta la mzee wew uko kiburang'oma🤣🤣🤣maisha hayako fair