Ni kutokana na Hali ya hewa tu. Nilishawahi kupata ajali nikapata skull fracture (Fuvu la kichwa Lilipata ufa kidogo), Huwa inatokea tu lakini itakaa sawa tu.
Picha zinagoma Yani wew kunishinda Mimi nastaafu rasmi kupika
Mwez wa nane natak mnisaidie kuandaa menu chakula Cha watu 30 mnipige na maombi 🤣🤣🤣 Mwachiluwi
Ni kutokana na Hali ya hewa tu. Nilishawahi kupata ajali nikapata skull fracture (Fuvu la kichwa Lilipata ufa kidogo), Huwa inatokea tu lakini itakaa sawa tu.
Nilishapona hata huo ufa ulishaziba kwa uwezo wa Muumba. Sometimes Ukuu wa Allah ni wa juu Santa kuliko hata mambo yote yanayotupata kwenye huu ulimwengu tunaoishi
Nilishapona hata huo ufa ulishaziba kwa uwezo wa Muumba. Sometimes Ukuu wa Allah ni wa juu Santa kuliko hata mambo yote yanayotupata kwenye huu ulimwengu tunaoishi