cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 13, 2023 #350,581 Saint Anne said: Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu Click to expand... Usimtajee G Wangu jaman
Saint Anne said: Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu Click to expand... Usimtajee G Wangu jaman
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,582 Lenie said: Jack Palladino kesho saa ngapi Click to expand... Saa moja itapendeza
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,583 Saint Anne said: Kuna uzi nimesoma asbh Dada analalamika mumewe anacheat. Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa. Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka.. Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama. Hawa labda watengeneze mbingu yao. Click to expand... Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu. Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Saint Anne said: Kuna uzi nimesoma asbh Dada analalamika mumewe anacheat. Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa. Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka.. Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama. Hawa labda watengeneze mbingu yao. Click to expand... Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu. Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,525 Jul 13, 2023 #350,584 Saint Anne said: Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
Saint Anne said: Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu Click to expand... 🤣🤣🤣🤣
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,585 Jack Palladino said: Unapenda vitu laini Click to expand... Basi nitakunywa 7up
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,525 Jul 13, 2023 #350,586 Saint Anne said: Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu Click to expand... Bila kusahau akina said kujiita side boy😂😂😂
Saint Anne said: Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu Click to expand... Bila kusahau akina said kujiita side boy😂😂😂
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,587 cocastic said: Usimtajee G Wangu jaman Click to expand... Tena huyo ni Kuni za mbele kabisa Demu wake mwenyewe eti Coca Nyie mtakuwa kuni VIP. Kuna Hawa Mungu alitengeneza majina vizuri akawaita Anthony, Eti wanajiita Tonny.
cocastic said: Usimtajee G Wangu jaman Click to expand... Tena huyo ni Kuni za mbele kabisa Demu wake mwenyewe eti Coca Nyie mtakuwa kuni VIP. Kuna Hawa Mungu alitengeneza majina vizuri akawaita Anthony, Eti wanajiita Tonny.
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,588 Jack Palladino said: Uoge wapi nakupitia job🤣 Click to expand... Job which where when? Ushasahau saivi me ni jobless eeh🤣🤣
Jack Palladino said: Uoge wapi nakupitia job🤣 Click to expand... Job which where when? Ushasahau saivi me ni jobless eeh🤣🤣
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,589 Mwachiluwi said: Basi nitakunywa 7up Click to expand... Hiyo ndio laini zaidi
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,590 Lenie said: Job which where when? Ushasahau saivi me ni jobless eeh🤣🤣 Click to expand... Since when?
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,591 Lenie said: Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu. Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema Click to expand... Jitu linachepuka na linakana. Wanamsifu eti amefata rule za uchepukaji.
Lenie said: Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu. Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema Click to expand... Jitu linachepuka na linakana. Wanamsifu eti amefata rule za uchepukaji.
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,592 Aaliyyah said: Bila kusahau akina said kujiita side boy😂😂😂 Click to expand... Tena hao heeeee hata harufu hawatanusa nakwambia🤣🤣🤣
Aaliyyah said: Bila kusahau akina said kujiita side boy😂😂😂 Click to expand... Tena hao heeeee hata harufu hawatanusa nakwambia🤣🤣🤣
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,593 Aaliyyah said: Bila kusahau akina said kujiita side boy Click to expand... Hawa Side hata mjadala hatuna..ni jehanam moja kwa moja.
Aaliyyah said: Bila kusahau akina said kujiita side boy Click to expand... Hawa Side hata mjadala hatuna..ni jehanam moja kwa moja.
Manyanza JF-Expert Member Joined Nov 4, 2010 Posts 19,152 Reaction score 43,112 Jul 13, 2023 #350,594 Aaliyyah said: Bila kusahau akina Benard kujitia Benny🤣🤣🤣 Click to expand... Nakumiss 😃
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,525 Jul 13, 2023 #350,595 Lenie said: Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu. Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema Click to expand... 😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
Lenie said: Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu. Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema Click to expand... 😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 13, 2023 #350,596 Saint Anne said: Tena huyo ni Kuni za mbele kabisa Demu wake mwenyewe eti Coca Nyie mtakuwa kuni VIP. Kuna Hawa Mungu alitengeneza majina vizuri akawaita Anthony, Eti wanajiita Tonny. Click to expand... nimechekaa hadi baas. Khaaah
Saint Anne said: Tena huyo ni Kuni za mbele kabisa Demu wake mwenyewe eti Coca Nyie mtakuwa kuni VIP. Kuna Hawa Mungu alitengeneza majina vizuri akawaita Anthony, Eti wanajiita Tonny. Click to expand... nimechekaa hadi baas. Khaaah
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,597 Jack Palladino said: Since when? Click to expand... Acha tu. Ndio maana nilikua nambembeleza Mwachiluwi anipatie kibarua nisije kupauka hapa mjini
Jack Palladino said: Since when? Click to expand... Acha tu. Ndio maana nilikua nambembeleza Mwachiluwi anipatie kibarua nisije kupauka hapa mjini
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,598 Aaliyyah said: Bila kusahau akina Benard kujitia Benny Click to expand... Wote hawa ni Jehanam Kuna Mtumishi Kanisani amejibadili jina,Anajiita Benny.
Aaliyyah said: Bila kusahau akina Benard kujitia Benny Click to expand... Wote hawa ni Jehanam Kuna Mtumishi Kanisani amejibadili jina,Anajiita Benny.
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,599 Lenie said: Acha tu. Ndio maana nilikua nambembeleza Mwachiluwi anipatie kibarua nisije kupauka hapa mjini Click to expand... Mhh nakupigia
Lenie said: Acha tu. Ndio maana nilikua nambembeleza Mwachiluwi anipatie kibarua nisije kupauka hapa mjini Click to expand... Mhh nakupigia
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,001 Reaction score 48,525 Jul 13, 2023 #350,600 Saint Anne said: Hawa Side hata mjadala hatuna..ni jehanam moja kwa moja. Click to expand... 😂😂😂Yaani umeniwahi side boy sio wakusomewa mashtak ni kuongoza njia 🤣🤣🤣
Saint Anne said: Hawa Side hata mjadala hatuna..ni jehanam moja kwa moja. Click to expand... 😂😂😂Yaani umeniwahi side boy sio wakusomewa mashtak ni kuongoza njia 🤣🤣🤣