Selfika na JF: Snap it. Show it

Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
 
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
Jitu linachepuka na linakana.
Wanamsifu eti amefata rule za uchepukaji.
 
Si hua wanaambiana kwenye vikao vyao huko, hata ukikamatwa na ushahidi we kataa tu.

Hapo unakuta dada wa watu anajipinda mgongo kupika chapati kama za Aaliyyah Ila ndio hivyo mume haoni jema
😂😂😂Kwanza anarudi job na njaa anakulaa saa tisa hiyo akishiba Anatafuta safari ya kurudi saa 4 au kulala hukohuko🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…