Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,561 Jack Palladino said: Saa 12 jioni Click to expand... Basi fresh, nitaoga mapema kesho
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,000 Reaction score 48,522 Jul 13, 2023 #350,562 cocastic said: Nilitaka pika vibamaa, nisitoboe kati kati umbo lilivotokaa, kabla sijaanza kuweka kwa mafuta, mama aliharibu vyotee, na matusi juu " huo uwendawazimu kamfanyie marehemu shangazi yako makaburini huko mbwa wewee" Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣Mama anateseka sana na mapishiyako
cocastic said: Nilitaka pika vibamaa, nisitoboe kati kati umbo lilivotokaa, kabla sijaanza kuweka kwa mafuta, mama aliharibu vyotee, na matusi juu " huo uwendawazimu kamfanyie marehemu shangazi yako makaburini huko mbwa wewee" Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣Mama anateseka sana na mapishiyako
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,563 Aaliyyah said: John umempendelea ni joh Yosef utasikia Jose au J Hawa hawaendi Click to expand... Akina Yusuf Akina Shwdrack Meshack na Abednego Wanajiita Mesha. Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wanaume kuingia ufalme wa Mungu.
Aaliyyah said: John umempendelea ni joh Yosef utasikia Jose au J Hawa hawaendi Click to expand... Akina Yusuf Akina Shwdrack Meshack na Abednego Wanajiita Mesha. Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wanaume kuingia ufalme wa Mungu.
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,000 Reaction score 48,522 Jul 13, 2023 #350,564 Lenie said: Nyie wakienda tuandamane🤣🤣 Click to expand... Ni kukata rufaa😂😂😂😂
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,565 Lenie said: Basi fresh, nitaoga mapema kesho Click to expand... Uoge wapi nakupitia job🤣
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,000 Reaction score 48,522 Jul 13, 2023 #350,566 Saint Anne said: Akina Yusuf Akina Shwdrack Meshack na Abednego Wanajiita Mesha. Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wanaume kuingia ufalme wa Mungu. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Nimecheka
Saint Anne said: Akina Yusuf Akina Shwdrack Meshack na Abednego Wanajiita Mesha. Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wanaume kuingia ufalme wa Mungu. Click to expand... 🤣🤣🤣🤣Nimecheka
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,567 Lenie said: Nyie wakienda tuandamane Click to expand... Kwanza nani atawaruhusu? Ukiona umekutana naye mmoja ujue umepotea njia Ni jehanam huko
Lenie said: Nyie wakienda tuandamane Click to expand... Kwanza nani atawaruhusu? Ukiona umekutana naye mmoja ujue umepotea njia Ni jehanam huko
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,568 Aaliyyah said: Ni kukata rufaa😂😂😂😂 Click to expand... Eeh 🤣🤣🤣 Wakachomeke motoni kidogo, wakitia huruma na kuomba msamaha ndio tuwaombee waingie mbinguni
Aaliyyah said: Ni kukata rufaa😂😂😂😂 Click to expand... Eeh 🤣🤣🤣 Wakachomeke motoni kidogo, wakitia huruma na kuomba msamaha ndio tuwaombee waingie mbinguni
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,569 Aaliyyah said: Nimecheka Click to expand... Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa. Akiyanani Joshua Wanajiita J...ujanja mtupu. Hawa akina Adam ndo kabisaa
Aaliyyah said: Nimecheka Click to expand... Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa. Akiyanani Joshua Wanajiita J...ujanja mtupu. Hawa akina Adam ndo kabisaa
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 13, 2023 #350,570 Aaliyyah said: Mama anateseka sana na mapishiyako Click to expand... yaan ni patashikaa,
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,000 Reaction score 48,522 Jul 13, 2023 #350,571 Saint Anne said: Akina Yusuf Akina Shwdrack Meshack na Abednego Wanajiita Mesha. Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wanaume kuingia ufalme wa Mungu. Click to expand... Bila kusahau akina Benard kujitia Benny🤣🤣🤣
Saint Anne said: Akina Yusuf Akina Shwdrack Meshack na Abednego Wanajiita Mesha. Kweli ni rahisi ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko wanaume kuingia ufalme wa Mungu. Click to expand... Bila kusahau akina Benard kujitia Benny🤣🤣🤣
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jul 13, 2023 #350,572 Saint Anne said: Kwanza nani atawaruhusu? Ukiona umekutana naye mmoja ujue umepotea njia Ni jehanam huko Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Na walivyo vipofu wa mambo mazuri, hawawezi ona njia ya mbinguni hao viumbe
Saint Anne said: Kwanza nani atawaruhusu? Ukiona umekutana naye mmoja ujue umepotea njia Ni jehanam huko Click to expand... 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Na walivyo vipofu wa mambo mazuri, hawawezi ona njia ya mbinguni hao viumbe
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jul 13, 2023 #350,573 Saint Anne said: Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa. Akiyanani Joshua Wanajiita J...ujanja mtupu. Hawa akina Adam ndo kabisaa Click to expand... Ismaïl wanaitwaa Suma
Saint Anne said: Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa. Akiyanani Joshua Wanajiita J...ujanja mtupu. Hawa akina Adam ndo kabisaa Click to expand... Ismaïl wanaitwaa Suma
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,574 Jack Palladino said: Hiyo tutakunywa wote Click to expand... Mimi fly-fishing
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,575 Lenie said: Eeh Wakachomeke motoni kidogo, wakitia huruma na kuomba msamaha ndio tuwaombee waingie mbinguni Click to expand... Kuna uzi nimesoma asbh Dada analalamika mumewe anacheat. Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa. Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka.. Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama. Hawa labda watengeneze mbingu yao.
Lenie said: Eeh Wakachomeke motoni kidogo, wakitia huruma na kuomba msamaha ndio tuwaombee waingie mbinguni Click to expand... Kuna uzi nimesoma asbh Dada analalamika mumewe anacheat. Akamkamata mara ya pili na msg,akakataa. Wanaume wanachangia eti kwanza huyo mwanaume anajua principles za kuchepuka.. Rule no1 ukikamatwa ni kukataa,kutokiri kosa hadi kiama. Hawa labda watengeneze mbingu yao.
Jack Palladino JF-Expert Member Joined Feb 24, 2018 Posts 7,245 Reaction score 22,552 Jul 13, 2023 #350,576 Mwachiluwi said: Mimi fly-fishing Click to expand... Unapenda vitu laini
Aaliyyah JF-Expert Member Joined Mar 20, 2022 Posts 20,000 Reaction score 48,522 Jul 13, 2023 #350,577 Saint Anne said: Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa. Akiyanani Joshua Wanajiita J...ujanja mtupu. Hawa akina Adam ndo kabisaa Click to expand... Hao ndo wabaya Zaid 🤣🤣akina abdallah wanajiita dula 😂😂 Abdul nae et dully 🤣🤣🤣 Suleimani Sasa utasikia nite sulesh🤣🤣🤣🤣
Saint Anne said: Wenzao akina Ishmail wapo peponi huko Ila siku hizi wanajiita sheik Ubwabwa. Akiyanani Joshua Wanajiita J...ujanja mtupu. Hawa akina Adam ndo kabisaa Click to expand... Hao ndo wabaya Zaid 🤣🤣akina abdallah wanajiita dula 😂😂 Abdul nae et dully 🤣🤣🤣 Suleimani Sasa utasikia nite sulesh🤣🤣🤣🤣
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,578 Aaliyyah said: Bila kusahau akina Benard kujitia Benny Click to expand... Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu
Aaliyyah said: Bila kusahau akina Benard kujitia Benny Click to expand... Yaani hawa ni moja kwa moja motoni Wapo na akina G,ni kuzunguzungu
Saint Anne JF-Expert Member Joined Aug 19, 2018 Posts 77,822 Reaction score 233,255 Jul 13, 2023 #350,579 Aaliyyah said: Hao ndo wabaya Zaid akina abdallah wanajiita dula Abdul nae et dully Suleimani Sasa utasikia nite sulesh Click to expand... Nilisahau Wapo wenye jina la mwezi mtukufu Wanajiita Rama. Eti Dullah yaani aisee jina tu limekaa kitapelitapeli..Hawa wote motoni.
Aaliyyah said: Hao ndo wabaya Zaid akina abdallah wanajiita dula Abdul nae et dully Suleimani Sasa utasikia nite sulesh Click to expand... Nilisahau Wapo wenye jina la mwezi mtukufu Wanajiita Rama. Eti Dullah yaani aisee jina tu limekaa kitapelitapeli..Hawa wote motoni.
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Jul 13, 2023 #350,580 Aaliyyah said: Nyie sikuhiz Ninapika chapat nzuri had nimeogopa😀😀 💥lain sanaView attachment 2686800View attachment 2686807 Click to expand... Nimekushindaa chapati ina lamani yaafrika
Aaliyyah said: Nyie sikuhiz Ninapika chapat nzuri had nimeogopa😀😀 💥lain sanaView attachment 2686800View attachment 2686807 Click to expand... Nimekushindaa chapati ina lamani yaafrika