Usinikumbusheee, niliwahu pika bagia hizo, hadi kaka akanambia
"Hivi unaona raha sana kuendekeza upumbavu km hutaki kupika si unaacha sio kuleta ujinga wako"
Zile bagia ni mbooo kabisaa, sasa si unajua zina mtindo wa kujikata km cakee, sasa zinginee zikawa km mboo kabisa na kichwaa.