Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Haya sawa .šUsijali, nitakuchek baadae.
Kalale kidogo zipungueš
Haya sawa .šUsijali, nitakuchek baadae.
Kalale kidogo zipungueš
Sio kulelewa, ulisema umawaelewa mashangazi zaidiš¤£nasubiri ushahidi kwamba nalelewa na jimamaš
Wote wazima dear jr bado hajatoka shule dadake anasomea kwa mshuake masafa marefu!! Usijareee kabesaaa !Ngoja nikitulia nikuangalizie kwa gallery!!Aunt mambo yalikua mengi.
Jr wa me mzima
Na dada ake jeee.
Navotaman kuwaona basi daah
aliyenizidi miaka 1-10 hawezi kua shangazi yangu banašSio kulelewa, ulisema umawaelewa mashangazi zaidiš¤£
Unakula pekee yakoKumbe bongo raha hivi...šView attachment 2686706
Jipe moyo broš¤£aliyenizidi miaka 1-10 hawezi kua shangazi yangu banaš
Nani kanunua shem TinsleyNakunywa wine hapa šš
Karibu tunywe wote .
Kesho tunakuja na Lenie tutakupeleka wavuvi kempuUnakula pekee yako
Ahahaah fanya kweli mzeeKesho tunakuja na Lenie tutakupeleka wavuvi kempu
Serious ! Kazi ya haosegirl?Niunganishe mimi kwenye kazi ya uhousegirl
Nipo serious.
Niliona ABC wametangaza nafasi ya kazi
Bus hostess.
Jaribu huko.
Gari yao uhakika,Route ya Mbeya ipo na ndio gari ya uhakika siku hizi.
Ndugu zako Sauli wamegeuka matapeli baada ya biashara kuwashinda![]()
Hiyo Grant's inaniongezea kiu ujuešW.end nimeanza mapema sana Lenie View attachment 2686699
Hayo ni matumizi mabaya ya mawazo shemeji yangu. Mtoto mzuri kama wewe mawazo yanatoka wapišAh mwenyewe shem
Napunguza mawazo hapa .
Antonnia ,a.k.a OdoWote wazima dear jr bado hajatoka shule dadake anasomea kwa mshuake!! Usijareee kabesaaa !Ngoja nikitulia nikuangalizie kwa gallery!!
Tutampitia ofisini kwakeKesho tunakuja na Lenie tutakupeleka wavuvi kempu
Labda hii kidogo nakuelewa šlove is blind
Hujatupia kitambo sana ,OdoForever and always mjedaa!!
Asalaam Aleykum !
i like my shoes oversizedš¬Labda hii kidogo nakuelewa š
š¤£š¤£š¤£š¤£ We hapo field unaharibikiwa broi like my shoes oversizedš¬