Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,419
Kuna jino linanisumbua mpwa ndo maana naonekana mzembe 😁😁😁Mpwa hauko serious wenzio wanapiga yote Kwa masaa TU😂😂
Kuna jino linanisumbua mpwa ndo maana naonekana mzembe 😁😁😁Mpwa hauko serious wenzio wanapiga yote Kwa masaa TU😂😂
Elewa neno #NZIMA#
Yenyewe hiyo kabisaMpwa. Leo Jumanne huku Misungwi ni siku ya mnada; na kama unavyoona tayari tupo site mpwa 😁😁😁💪💪
View attachment 2684596
Saluni ya kunyoa huku kwetu Sanya Juu!!!😁hapo ni wapi mkuu
bado upo hapo hapo, nije kunyolewa hapo? Commission ya marketing utapokea weweSaluni ya kunyoa huku kwetu Sanya Juu!!!![]()
Niende wapi na mimi ndo nawaosha wakaka na wababa wakishanyoa??🙂bado upo hapo hapo, nije kunyolewa hapo? Commission ya marketing utapokea wewe
Arooo kibajaji hapaa
kuosha au kuogeshaNiende wapi na mimi ndo nawaosha wakaka na wababa wakishanyoa??
Njoo haraka, na boss akijua nimekuelekeza mimi ntafurahi zaidi!!![]()



Wewe sio wa kukaa kwenye Kighetto bhana. 😂😂😂😂😂Dah nimecheka
Kwan like ghetto tayar tuhamie au wew hutak kunioa😂😂😂
Hmmm....kuogeshwa ni nyumbani!kuosha au kuogesha![]()
Pole mpwa upone haraka upige kazi watakupita wenzio😂Kuna jino linanisumbua mpwa ndo maana naonekana mzembe 😁😁😁
Family man ni Mwanaume ambaye hachepukiShe changed my whole life # family Man View attachment 2685013


Family man ni Mwanaume ambaye hachepuki![]()
Mimi sichepukiKm nakufahamu vilee? Niliwahi kukuona melikeboShe changed my whole life # family Man View attachment 2685013




Mdogo wangu melikebo ndio wapiKm nakufahamu vilee? Niliwahi kukuona melikebo![]()

Mdogo wangu melikebo ndio wapi![]()


uelekeo wa Njoss, ni yeyee kabisaa huyu.Ngumu Sana kuniona LIVEuelekeo wa Njoss, ni yeyee kabisaa huyu.
