cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,159
- 181,303
Wapi huko mm ndo nimemaliza fom foo nikasome
Anaambiwa kuhusu Elimu yangu, anakataa ndo kwanza anasema "huyo mtu mwenyewe anaonekanaa alienda diploma kwa div 3 ya 25, Degree sio matako kwamba kila mtu anayo"
Nikajaa ambiwa, sasa siku hiyo tumekaa wote ananiulizaa mie, nikamjibu ndyo niko Degree, anakataa anasemaje "niletee cheti chako cha 4m 4 nikiona una cut points za kwenda advance nakupa 50k cash"
Nkamuambia fresh, siku ya 2 nikamuonesha results slip ya 4m 6, alichachawaa balaaa, afu kibabee nkamuambiaa sihitaji hata senti yako, kacheze unakochezaga, tena types na zako sio mie..
Shangaziii umenichekesha, nimekumbukaa hii