Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kwa mkapaaa hapaa, hii match ishaishaa afu mpambano ulikua mkalii sanaa. Uwanjaa umetibuka na kudidimia chini zaidii.

FB_IMG_16889189203153412.jpg
 
Yeahhh nichopendea huku hali ya hewa dahhh!! Kama ulayaaaa!!!
Afu hiko nilikua sisikii njaa sana Nimerudi Huku sasa uwiiii!! Nasikia njaa balaaa naona kwenye kupunguza kufakamia nafeli Kabisaa😁😁😂!!
Ah nimeona picha moja nikasema wow , greenish ile mbaya .

Haha kula mama , enjoy
Usijibanie
 
Sisi ni walevi tunakesha bar

Tunatumia hela mpaka jua lianze ng’aa

Kama pombe we hauwezi

Hapa hapatokufaa

Nenda meza za hivi wenzako wanaoshangaa

Wenyewe tuna kikao

Tuna kikao

Tuna kikao tuna kikao

Eeeeh tupishe bwana

Tuna kikao Tuondolee kelele

Tuna kikao Tupishe bhana

Tuna kikao Eeeeh tuna kikao

Wazee wa nyumba tutajenga mwakani

Kwanza heshima mezani

Kikubwa ghetto na bebe iwe ndani

Na mama ale nyumbani

Tukizikosa kitonga ganda la ndizi

Tukizipata ndo maboss matumizi

Tukiwa bwi kuhonga ving’ang’anizi

Tunatakaga ile kitu ya uzinzi

Jamani sisi ni walevi tunakesha bar

Tunatumia hela mpaka jua lianze ng’aa

Kama pombe we hauwezi

Hapa hapatokufaa




Lavalava anawatetea uku walevi wote mqoutee hapa
 
Back
Top Bottom