Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Naanzaje kuwa busyNitakuwa mlimani baada ya 2 hrs. Kama hauko busy nitafute.
Chap nitakuwa hapo.
Naanzaje kuwa busyNitakuwa mlimani baada ya 2 hrs. Kama hauko busy nitafute.
Lol Tin bado kigori kabisa wewe!! Mie nishazeeka sana!Kumbe ni age mate 😂😂
Kabinti kabichi kabisa wewe, mfupa laini 🤗Kweli kabesaaa ulijuajeeee ☺️☺️! Naelekea 50 Saivi lol uzee huu hapaa☺️!!
Ulienda kuswampia wapiii udugu akee kwaniiSijaonaaa, nimepitwaaa bhana,![]()
Usije niachia vumbi shem.Naanzaje kuwa busy
Chap nitakuwa hapo.
Thubutruuuuuuuu!! Nipo Bibi la mamiaka☺️☺️🤠!!Kabinti kabichi kabisa wewe, mfupa laini 🤗
Ngoja nije Nyakiboo nihakikishe mwenyewe.Thubutruuuuuuuu!! Nipo Bibi la mamiaka☺️☺️🤠!!
Ah kumbe🤣🤣!
Asantee sikuhizi Nina zoezi la kumeinteinn sema kitrambiii mng'ang'anio kimegoma kutoka kabesaaa!!
Mazoezi na maji ya moto yenye limao na nimepunguza kufakamia!☺️
Unamtafutia mwenzako shida, shep lote hilo aongeze tena😳😳 sisi wenye min Adult hututakii mema. 😂 AntonniaAh kumbe
Umependeza sana , hongera kwa kumantain .
Jitahidi , uruke hata kamba au squats pia ujiongeezee na shape zaidi .
Kigorii wapi aiseeLol Tin bado kigori kabisa wewe!! Mie nishazeeka sana!
Ah sikuachiiUsije niachia vumbi shem.
Nataka nizimie leo🤗
Weee nishatotoa vichwa viwili mimi mileage kama yotre🤠🤠☺️!!Ngoja nije Nyakiboo nihakikishe mwenyewe.
Mtoto bado sana km hazijasoma saana 😂
Ubishi wenu nitaumaliza mimi kama CAGKigorii wapi aisee
Ndo tunaelekea huko .
Nikikaribia huko nitakwambia, be readyAh sikuachii
Nipe 1 hour ,nitakuwa nimefika hapo
Mikwara tu hiyo, nimekaa kazuramimba nishindwe huko. Wakola sanaWeee nishatotoa vichwa viwili mimi mileage kama yotre🤠🤠☺️!!
Nyakibimbirii ukiweza kukaa hata Siku 2 wee utakua mwambaaaa☺️!
Ni bushiii balaaaa Huku sie ma don ndo tunapaweza!
Antonnia 😂😂😂😂Ah izidi ndio.
Shepu ifike huko , akitembea tu , watu mimacho hiyo kwake .
😂😂😂Ubishi wenu nitaumaliza mimi kama CAG
Nipeni location tu🤗
Okay ngoja nitoke huku .Nikikaribia huko nitakwambia, be ready