Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimevukaa hizii level wa kunyumbaaaa,

Yaan kwa kifupiii mie ni Hero, mapambano yote niliyowahi pigana nimeshindaaaaa.

JF iko kiganjani kwanguu, hainistui wala haifurukutiii..
 
Umenena kweli Mkuu.
Kusameheana ni muhimu.

Mimi sina baya na mtu
Ila wote walionikosea nilishawasamehe,,wengine hata kabla ya kuomba msamaha

Ila natupiaga kwenye ignore list ili tusije tukasumbuana tena shetani apate nafasi.
Maturity 🤩
 
Nimevukaa hizii level wa kunyumbaaaa,

Yaan kwa kifupiii mie ni Hero, mapambano yote niliyowahi pigana nimeshindaaaaa.

JF iko kiganjani kwanguu, hainistui wala haifurukutiii..
Wewe mshali sana🤣🤣 unaweza mchamba hata mchungaji madhabahuni.
 
Aminaaa kubwaaaa!!!!

Asante sana kwa hii nondo barikiwa sana!
 
Ulipendezaa dear afu shavu dodo hadi rahaaa!! Na vidole vimejaaa bila shaka hata kule kumejaaa kumenonaa kama vidolee hongeraa sanaa mamaa lipsssss 💋!!

Hakika Jioni yangu inaenda kuwa barreeeeeeeeddaaa kabesaaa
Wabheja sana!!
 
Ulipendezaa dear afu shavu dodo hadi rahaaa!! Na vidole vimejaaa bila shaka hata kule kumejaaa kumenonaa kama vidolee hongeraa sanaa mamaa lipsssss 💋!!

Hakika Jioni yangu inaenda kuwa barreeeeeeeeddaaa kabesaaa
Wabheja sana!!
Wapi huko kumenonaaaaaa🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…