Selfika na JF: Snap it. Show it

Duh
Umbea umenipita


Hebu gusia hata kidogo,
Si ajabu hata mimi nipo kwenye msala wa kusemwa tofauti na nilivyo.
Haha noma sana
Yaani tunajiachia hapa kumbe πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ wengine roho zina....
 
Hee
Kuna nini?
Isije kuwa picha zetu zinanangwa

Ama ni kuhusu Nini?
Nihadithie 🀣
Hee
Kuna nini?
Isije kuwa picha zetu zinanangwa

Ama ni kuhusu Nini?
Nihadithie 🀣
Kama wanamind vitu vidogo , hivyo vya picha si ndo kabisa .

Can't write it here na sipendi maneno since inanihusu sana .
 
🎡🎡🎡Aliumba ardhi akaumba mbingu
Akaumba mbaramwezi kaumba nafsi, Kaumba wivu
Akayaumba na mapenzi na kukuacha sidhan
Siwezi jaribu maana penzi kwa mzani
Umenizidi mahabibu shika vyema usukani
Twende taratibu
Baada Ya tuta baby Koleza gia

Yani tam tam kama pipi nakuita sweet
Ah lote lote fundi kwenye kwichikwichi
Shape vipi kama lote
Vicheche nisha delete sitaki cheat
Wa toke toke kwenye moyo nimekupa seat
We ndo dereva, sio wa kukuacha oh🎡🎡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…