Kutongozwa ukiwa field
Nilifanya field serikali ya mtaa jamani ππππ .
Mjumbe bhana akanipenda ,
Siku moja nikawa naenda zangu date ,tulikuwa ofisini wawili , nikawahi kweli kutoka kabla ya saa tisa na nusu .
Sasa nikapitia njia ambayo siitumia kufika napoenda , duh kesho yake sasa .
Nafika nakutwa nachambwa bila sababu halfu nilipitia saluni asubuhi
Yule mjumbe kanichoma kwa mwenyekiti wa mtaa aisee , na ni mwanamke anaongea huyo .
Ikanibidi niache na field siku hiyo na sikuwa nimepanga , wambeya sana