Selfika na JF: Snap it. Show it

Kazi mnayoπŸ˜‚ Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inboxπŸ˜‚
 
Kazi mnayoπŸ˜‚ Kuna sehemu nilifanya tulitengenezewa hadi magroup ya whatsapp....

Kumbe ni mchongo wazee wa vitengo wanazama inboxπŸ˜‚
Wazee wa kazi wanawasubiri πŸ˜‚πŸ˜‚.

Nilifanya field ya pili hospital huko ndo pako moto zaidi .

Interns nikasikia habari zao ni balaa .
 
We ukipata muda njoo
Mimi naogelea kila sikuπŸ˜‚
Ushakuwa swimmer eeh 😍😍

Last week nimepanda pantoni tukakimbilia lile la Azam .

Basi tukifika kati kati ya maji bhana

Likagoma since watu walikuwa wamejaa mbele .

hivyo ikafanya pantoni ilemewe upande mmoja .

Ndo watu kuongea weh ndo wakasogea nyuma ndo likaanza kwenda .

Next time napanda tu Mv. Kazi kwa kweli ..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…