Wee shogareeeeee nilicho kuambiaa tsupp, mbna kimyaaa.??Dp World!!
Weee granpah kumbe una ukorofiii hivooo!!
Mi Nimesikia ilikua inaulizia masoko yalipo na kutangaza biashara tyuuuuu saiii ndio innayeya mazimaaa!!!!!!!
Thubutuuuu!! Unapasikia tyuuu nyie watoto mliozaliwa mijini mkakulia mijini vijijini mnapahadithiwa tu!!Kwa nini nisipajue, nitakupiga na migebuka usoni ndio uamini😂
Nilikua bize kidogoo nikasahau kuongea na bosii kubwaaa kipenzii Ngoja nimcheki afanye manuvaa udugu akee wewe treinaaaahhh!!Wee shogareeeeee nilicho kuambiaa tsupp, mbna kimyaaa.??
Coca wee ni chiziii ujue hahaha!!
Ngoja nikusaplaizi siku moja, migebuka, dagaa kigoma na mawese. Nitakuongezea kale ka ugali ka kukausha toka burundi😂Thubutuuuu!! Unapasikia tyuuu nimemiss watoto mlipzaliwa mijini mkakulia mijini vijijini mnapahadithiwa tu!!
Unipake na mawese kabisa bila kusahau dagaa chakula changuuu🤠🤠!
Imemuathiri sana hiyo kitu. Addiction yake ni hatariCoca wee ni chiziii ujue hahaha!!
Ndio nini hiki mfyuuu!😊
Yeah kila mtu yupo tofautiila ukweli Zari ni classic kuliko hao wenginee.
Tatizo watu wanataka Zari awe km kina wema na mobetto, hapanaa zarii hawezii hivyooo.
Ana viwangoo vyakee,
Unaitwa Ugali wa lowe!! unateleza tyuuu na ka mgebuka na mawese aahhh acha kabisa!!Ngoja nikusaplaizi siku moja, migebuka, dagaa kigoma na mawese. Nitakuongezea kale ka ugali ka kukausha toka burundi😂
Hahahaaa... mamaa mizagamuo huyoo mtoto wa kingoni anaachajee kwa mfano 😁!Imemuathiri sana hiyo kitu. Addiction yake ni hatari
🙌😂😂 Unaujua huo ugali.Unaitwa Ugali wa lowe!! unateleza tyuuu na ka mgebuka na mawese aahhh acha kabisa!!
Fanya unileteee napenda sana vyakula vya asili na mawese !
Ugali wa lowe ni mzuri sanaUnaitwa Ugali wa lowe!! unateleza tyuuu na ka mgebuka na mawese aahhh acha kabisa!!
Fanya unileteee napenda sana vyakula vya asili na mawese !
Mweh mshamba wakuja mwanamke yupoyupo tu naibwaje babu nawee!!Maisha yafaa nini bila Vyombo, the weekend is here 🥂
Isingekuwa Ujeshi wake, kuna vijana hapa selfika wangejaribu kukuiba lakini kila wakikumbuka mjeshi ana miliki 🔫 inawalazimu watoke speed tu 🏃🏃🏃🤪
HakikaAbsolutely hasa kwa sisi Wazee ila nyie vijana mna cha kujifunza 🤗
Yeah huwa wanauweka unaeza ufunga ukalia mbele ya safari!!Ugali wa lowe ni mzuri sana
Unaweza hata kuubeba safarini ukiwa kwenye treni au hata basi
Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unakaa mwezi mzima. Unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begiUgali wa lowe ni mzuri sana
Unaweza hata kuubeba safarini ukiwa kwenye treni au hata basi
Fanya hivooo navisubiriaa shem akeee T!!!🙌😂😂 Unaujua huo ugali.
Nilikuta unauzwa sokoni nikashangaa sana, unafungiwa kama maandazi vile.
Usijali, maweze yapo ya kutosha, tena yale ya asili kabisa hayajapita kiwandani.
Shida yenu Vijana hamna ujasiri, mngekuwa mmezaliwa miaka yetu sidhani kama mngeweza kumfukuza Mkoloni na kuipatia Nchi Uhuru kama tulivyoweza Sisi Babu zenu 🤪Hakika
Mrithishe next generation .
Nyie wazee wetu
Umepata mrembo mjasiriamali😂Fanya hivooo navisubiriaa shem akeee T!!!
Weee kumbe uko vizure hapo naamini kweli mara moja moja ulitembelea KG!Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unakaa mwezi mzima. Unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi
Unaitwa "Rowe" sio "Lowe" Antonnia
Mjasiriamali wapi mweh!! Mie mtu kaniagiza tu!!Umepata mrembo mjasiriamali😂