Yeah huwa wanauweka unaeza ufunga ukalia mbele ya safari!!Ugali wa lowe ni mzuri sana
Unaweza hata kuubeba safarini ukiwa kwenye treni au hata basi[emoji28][emoji28][emoji28]
Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unakaa mwezi mzima. Unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begiUgali wa lowe ni mzuri sana
Unaweza hata kuubeba safarini ukiwa kwenye treni au hata basi[emoji28][emoji28][emoji28]
Fanya hivooo navisubiriaa shem akeee T!!!🙌😂😂 Unaujua huo ugali.
Nilikuta unauzwa sokoni nikashangaa sana, unafungiwa kama maandazi vile.
Usijali, maweze yapo ya kutosha, tena yale ya asili kabisa hayajapita kiwandani.
Shida yenu Vijana hamna ujasiri, mngekuwa mmezaliwa miaka yetu sidhani kama mngeweza kumfukuza Mkoloni na kuipatia Nchi Uhuru kama tulivyoweza Sisi Babu zenu 🤪Hakika
Mrithishe next generation .
Nyie wazee wetu
Umepata mrembo mjasiriamali😂Fanya hivooo navisubiriaa shem akeee T!!!
Weee kumbe uko vizure hapo naamini kweli mara moja moja ulitembelea KG!Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unakaa mwezi mzima. Unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi
Unaitwa "Rowe" sio "Lowe" Antonnia
Mjasiriamali wapi mweh!! Mie mtu kaniagiza tu!!Umepata mrembo mjasiriamali😂
Hahaha.............kwahiyo unataka kusema Mjeshi tulimpiga ile milioni 15 aliyotoa kama Mahari kukuoa? 🙈Mweh mshamba wakuja mwanamke yupoyupo tu naibwaje babu nawee!!
Kwanza Vijana sio fleva zangu mieee wana mambo miambiliiii ishirini kidogoooo😏!
Acha nipambane naharee yangu tyuuuu!!
Umeanza kuogopa. Heshima pesa, salamu ni kelele tu.Mjasiruamali wapi mweh!! Mie mtu kaniagiza tu!!
Wanasema Bandari ikichukuliwa na DP World ajira zitazalishwa nyingi huko bandari wakati huo huo wanasema watatumia Robots kufanya kaziDp World 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣!!
Weee granpah kumbe una ukorofiii hivooo 🤣🤣🤣!!
Mi Nimesikia ilikua inaulizia masoko yalipo na kutangaza biashara tyuuuuu saiii ndio inayeya mazimaaa!!!!!!!😃
Hahahaaa!!Hahaha.............kwahiyo unataka kusema Mjeshi tulimpiga ile milioni 15 aliyotoa kama Mahari kukuoa? 🙈
I know you might be kidding 🤗
😅😅🏃🏃🏃Hahahaaa!!
Noma sanaShida yenu Vijana hamna ujasiri, mngekuwa mmezaliwa miaka yetu sidhani kama mngeweza kumfukuza Mkoloni na kuipatia Nchi Uhuru kama tulivyoweza Sisi Babu zenu 🤪
Nasubiriiiiiiii hapaa.Nilikua bize kidogoo nikasahau kuongea na bosii kubwaaa kipenzii Ngoja nimcheki afanye manuvaa udugu akee wewe treinaaaahhh!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguu snack hiyooo, ni tamuuu balaaaa.Coca wee ni chiziii ujue hahaha!!
Ndio nini hiki mfyuuu![emoji4]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] snack hiyoo tamuuu balaaa, nyie msifanyee mchezoooo.Imemuathiri sana hiyo kitu. Addiction yake ni hatari
Hahahaha..............Noma sana
Mheshimiwe wazee wetu
Mimi wazungu nawapenda , wametuletea mambo mazuri , tungebaki vile sijui ingekuwaje .
Sasa dear Zari anajisahauje? Emu sema basi.Yeah kila mtu yupo tofauti
Zari has a classy lakini ndo anajisahau muda mwingine .
Ongezaaaaa sautiiiii uduguuuu akee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaaa... mamaa mizagamuo huyoo mtoto wa kingoni anaachajee kwa mfano [emoji16]!