Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee shogareeeeee nilicho kuambiaa tsupp, mbna kimyaaa.??
 
Kwa nini nisipajue, nitakupiga na migebuka usoni ndio uamini😂
Thubutuuuu!! Unapasikia tyuuu nyie watoto mliozaliwa mijini mkakulia mijini vijijini mnapahadithiwa tu!!

Unipake na mawese kabisa bila kusahau dagaa chakula changuuu🤠🤠!
 
Reactions: 511
Thubutuuuu!! Unapasikia tyuuu nimemiss watoto mlipzaliwa mijini mkakulia mijini vijijini mnapahadithiwa tu!!

Unipake na mawese kabisa bila kusahau dagaa chakula changuuu🤠🤠!
Ngoja nikusaplaizi siku moja, migebuka, dagaa kigoma na mawese. Nitakuongezea kale ka ugali ka kukausha toka burundi😂
 
Yeah kila mtu yupo tofauti
Zari has a classy lakini ndo anajisahau muda mwingine .
 
Ngoja nikusaplaizi siku moja, migebuka, dagaa kigoma na mawese. Nitakuongezea kale ka ugali ka kukausha toka burundi😂
Unaitwa Ugali wa lowe!! unateleza tyuuu na ka mgebuka na mawese aahhh acha kabisa!!

Fanya unileteee napenda sana vyakula vya asili na mawese !
 
Reactions: 511
Unaitwa Ugali wa lowe!! unateleza tyuuu na ka mgebuka na mawese aahhh acha kabisa!!

Fanya unileteee napenda sana vyakula vya asili na mawese !
🙌😂😂 Unaujua huo ugali.
Nilikuta unauzwa sokoni nikashangaa sana, unafungiwa kama maandazi vile.

Usijali, maweze yapo ya kutosha, tena yale ya asili kabisa hayajapita kiwandani.
 
Maisha yafaa nini bila Vyombo, the weekend is here 🥂

Isingekuwa Ujeshi wake, kuna vijana hapa selfika wangejaribu kukuiba lakini kila wakikumbuka mjeshi ana miliki 🔫 inawalazimu watoke speed tu 🏃🏃🏃🤪
Mweh mshamba wakuja mwanamke yupoyupo tu naibwaje babu nawee!!
Kwanza Vijana sio fleva zangu mieee wana mambo miambiliiii ishirini kidogoooo😏!
Acha nipambane naharee yangu tyuuuu!!
 
Ugali wa lowe ni mzuri sana
Unaweza hata kuubeba safarini ukiwa kwenye treni au hata basi
Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unakaa mwezi mzima. Unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi

Unaitwa "Rowe" sio "Lowe" Antonnia
 
🙌😂😂 Unaujua huo ugali.
Nilikuta unauzwa sokoni nikashangaa sana, unafungiwa kama maandazi vile.

Usijali, maweze yapo ya kutosha, tena yale ya asili kabisa hayajapita kiwandani.
Fanya hivooo navisubiriaa shem akeee T!!!
 
Reactions: 511
Masharti yake usihifadhiwe kwenye jokofu ama sahani. Unakaa mwezi mzima. Unahifadhiwa kwenye majani maalum ya mgomba, unaliwa kwa mboga ama bila mboga, unaweza kusafiri nao popote kwenye begi

Unaitwa "Rowe" sio "Lowe" Antonnia
Weee kumbe uko vizure hapo naamini kweli mara moja moja ulitembelea KG!

Unga wake ukichanganya na Supa Ugali unakua mlaini fulani hivi mzuri sana!!
 
Reactions: 511
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…