Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
AiseeeUtani jamaa shemeghi....![]()
AiseeeUtani jamaa shemeghi....![]()
Ebu acha kumsingiziaRudi post za juu huko....
Dada yako ana michepuko kama nini ...
Nenda tuu baba!Hahahaaaaaa....
Ni utani bhana...
Mimi na Sakayo ni maji na samaki![]()
Amewowa dada
Sasa hivi uko na kina baba jjBaba Naven na Naren
Nakazia apaNenda tuu baba!
Leo umekula nini?No comment
HAPANA
Mwenyewe najionea leo dada!!!Kwakweli nimeshindwa kuvumilia yaani dada naumia nina uchungu yameanza lini haya
Na umbea wako wote hizi habari za baba j umeshindwa kunipa








Muachane mara ngapi sasa jamaniTuachane?![]()
Mwenyewe najionea leo dada!!!
Mwache ahangaike na kina mwajuma wa JF! Akichoka Atarudiii dada


wanaume bwana mfyuuuSababu ya mambo zako akiiAcha basi na wewe ...
Juzi tuu hapa ulitaka kiniacha..![]()
Mwenyewe najionea leo dada!!!
Mwache ahangaike na kina mwajuma wa JF! Akichoka Atarudiii dada
Pole sana jamani dada
Yaani nimeshangaa umeshindwaje kunipa hizi habari za baba jj
Mecheka mimi jamani
Marahabaaaa!
Sababu ya mambo zako akii
Baba J nasema niwaaacheee!!Naona unakazia..
Acha ujinga basi..![]()