Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,906
Kwani uongoo jamanii baba JAcha uchochezi basi...
Siku nyingi saaana jamani dada!!
Kulia lia nimeacha mimi jamani


Tumekuwa suguGrand malt na cokeLeo umekula nini?
Ndiwooo baba JTuachane?![]()

Eeeehhh
Sasa uzuri kaona mwenyewe jamani baba J
Shangaa dadaMuachane mara ngapi sasa jamani
Hahahahahahawanaume bwana mfyuuu
Kumponzaje sasa baba jj
WalaaaaHahhahaa...
Venye uko Dulla eeh..! Pambana basi..
Najua hapa utarudi tukale pensheni wote..
@Depal hawezi kukimbia bwana eti mama jj unakimbiaje kwa mfanoUjue hadi Depal wa watu kakimbia..
Si utani bhana...
Kwakweli dada nimeumia kama vile T ni babe wangu
Huwa najua unasoma kimya kimya tuu akiiYaani nimeshangaa umeshindwaje kunipa hizi habari za baba jj
KhaaaaHilo jina la baba J life..pls
MmmhhhAfu desemba nataka Twende mayotte...![]()
Huwa najua unasoma kimya kimya tuu akii

Wala sijaingia mda huku leo ndio nimeingia na kukutana nayo