Binafsi wakati nakua nimekula mboko sana, kwa wote baba na mama hadi nikawa nahisi hawanipendi.
Ila kaukorofi nilikua nako sana tu, so badae nikaja kugundua kua walinisaidia kunishape vema.
So nadhani inategemea, of course too much beating nayo sio poa japo kuna watoto watukutu hadi wazazi wengine wameishia kupata magonjwa ya pressure.
Sahihi, nimeweka hiyo meme kutoka na jambo lililotokea. Jana kuna rafiki kapewa life ban (asimguse wala kumsema mwanae siku zote atakazoishi nae) kwa kosa la kumchapa kwa waya. Mama kaendesha kesi kashinda, baba analipa faini na hiyo life ban. Mtoto ana 14yrs now