Haha hatari sana unaomba nyingine mm nilikuwa napewa Kwa ratiba natumiwa pesa na mama weekend had weekend ukijifanya mtumiaji wa ovyo kazi kwako
Aliyekuwa anakupa pesa baada ya kuishiwa ni nani????ndyooooooh,
Mambo mmeyaanza zamani nyie
Kwenye kupikaa huyu mdada anajua, kanifundisha kukaanga yai la nyanya, linatoka km chips zegee, afu tamuu balaaa.Yuko vizuri itakuwa watu wanaojua kupika wengi sio wachoyo Hawa wakuchemsha chemsha hivo supuzao za dagaa wananyima balaa hawali had mgeni aondoke
Mzazi wako alikuwa anajua kuwa ulikuwa unalala lodge kabla ya kufika shule???Mzazii
Mm sijabahikaga kuwa na mahusiano ya karibu nilitoroka likizo nikaenda Kwa mtu wangu mbali balaa alafu alikuwa ananihonga mbwa yule nikaona nikampoze machungunikamuaga auntyangu afanye Siri nikampa na Hela kumbe friji haligandishi akavujisha Siri Kwa Mjomba nilichambwa Hadi nikahis kizunguzungu
HapanaaaaMzazi wako alikuwa anajua kuwa ulikuwa unalala lodge kabla ya kufika shule???
Sawa huyo BF bado unaye au mmshaachana, maana ujana unamambo mengi. Kwanini usingesuribiri umalize shule ukaolewa?? Ndio ufanye hayo mambo ukiwa na mumeo??Hapanaaaa
Wee hela tulikua tunachanga na BF wangu, siwezi tumia zote naanzaje kwan, hata hivyo mbna sikua natumia sana, nilikua natumia vyakula vya shule, sina mambo mengi yaan.
KunaNakujua ww unapenda nyama kwahiy sishangai
BF tulikua wote wanafunzi, tushaachanaa mda tyuuh.Sawa huyo BF bado unaye au mmshaachana, maana ujana unamambo mengi. Kwanini usingesuribiri umalize shule ukaolewa?? Ndio ufanye hayo mambo ukiwa na mumeo??
Ahahaha nakujua mshikaji unapenda kuku njoo ukuleKuna
1 Pilau Nyama
2 Nyama Pilau
huwa napenda nyama Pilau
Aaah mimi nilikuwa natafuta mchumba ningekuhitaji ILA kwa tabia ulizotuambia humu PIndi uko advance aisee hapana hunifai. Fanya haraka mrudiane na huyo BF akuoe lasivyo utapata tabu sanaBF tulikua wote wanafunzi, tushaachanaa mda tyuuh.
Kuolewaa mchezoo? Waoaji wapo sasa??
Aaliyyah nisaidiee shangaziiiii
Chakula cha shuleHapanaaaa
Wee hela tulikua tunachanga na BF wangu, siwezi tumia zote naanzaje kwan, hata hivyo mbna sikua natumia sana, nilikua natumia vyakula vya shule, sina mambo mengi yaan.
vitu vyangu hivi😃Ahahaha nakujua mshikaji unapenda kuku njoo ukule
Kwa sifa na vigezo vilee mie tayari niko nje ya ulingo.Aaah mimi nilikuwa natafuta mchumba ningekuhitaji ILA kwa tabia ulizotuambia humu PIndi uko advance aisee hapana hunifai. Fanya haraka mrudiane na huyo BF akuoe lasivyo utapata tabu sana
Nilikuwa sikipendi kinoma,,ndyoooo mchumbaaa.
Mbuzi tutachinja mwisho wa mwaka tukiwa rombovitu vyangu hivi😃
ila napenda mbuzi zaidi
Wakat wake Bado inshallah atapataKwenye kupikaa huyu mdada anajua, kanifundisha kukaanga yai la nyanya, linatoka km chips zegee, afu tamuu balaaa.
G mda wote ndo anataka nimkaangie, to be the honest huyu mdada ana roho nzuri mnoo, kanifundisha kupikaa na vingne sikuwahi jua.
Sijui kwann serikali haimpi ajira, kila akiomba anakosa.
Mbna ana utu sanaaa.