Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 50,504
- 203,226
Nikaushie youngie 😂😂😂kitambi cha chips kileeeeee😂
Nikaushie youngie 😂😂😂kitambi cha chips kileeeeee😂
Sio cha chips, uko outdated mla mihogo wewe.kitambi cha chips kileeeeee😂
mtu mwenyewe ninaona church ni kama kituo cha polisi😂Niko poa sana shem, sijakuona toka juzi kumbe ulipeleka mtu kanisani. mshamba_hachekwi
Dawa ni kunywa maji ya baridi😂 tufanyaje sasa? Chai tumekunywa mpaka basi
Karibu sana kanisani kwetuNiko poa sana shem, sijakuona toka juzi kumbe ulipeleka mtu kanisani. mshamba_hachekwi
Naomba picha wakati unakunywa maji ya baridi😂Dawa ni kunywa maji ya baridi
Baridi kwa baridi vikutane vigombane vyenyewe 😂😂
wadada wote wanasemaga hivi😂Mie die hard mlokole
Namuaachaje huyu Yesu 😍😍
Kwanzaa sponsa mwenyewe
nataka slay queen na sipo huko
Nikivalia gauni langu refu hadi mguuni
G ndo kituooo cha mwisho, labda mie nirudi nilikotoka, au yeye abagazwee na waja.Ukimpima G yanaenea kabisa, au tumtazamie mwingine.![]()






Sponsor out 😂😂😂😂😂wadada wote wanasemaga hivi😂
Karibu auntAaliyyah
Shangaziiii uko wapiii, nakujaa hapo kula nyamaa, tena uniambie kabisa nipige code gan,
Maana kuna mualiko nimepewa, hizo code za kutupia ni jau.
nifanyie fea, nilipuke km navyolipukagaaa.
Nakuja na ndizi kabisaa, hata usipatee tabuu shangazii akee.
field gani hiyoNi mbinu yao iliyo fail kwa field
Ndio mimi
Unadhani natania 😂😂😂Naomba picha wakati unakunywa maji ya baridi😂
😃😃😃Jaribu kama hatujakukuta AICC hapo
Shangaziii huku walikonipa mualiko, wanasema nipige code za kujisitiri yaan nisioneshee hata ngozi,Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tu
Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salamingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama
![]()













hatariii tupuu.unaweza ukalipata huko church😂 wale madon wanaingia ibada ya kwanza na suti wamepaki v8 njeSponsor out 😂😂😂😂😂
Kiukweli i wont brag ,kanisani nipo serious sana kauzu ile mbaya 😂😂
Sioni ubaridi hapo😂Unadhani natania 😂😂😂View attachment 2672707