Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Aaliyyah

Shangaziiii uko wapiii, nakujaa hapo kula nyamaa, tena uniambie kabisa nipige code gan,

Maana kuna mualiko nimepewa, hizo code za kutupia ni jau.
nifanyie fea, nilipuke km navyolipukagaaa.

Nakuja na ndizi kabisaa, hata usipatee tabuu shangazii akee.
 
Aaliyyah

Shangaziiii uko wapiii, nakujaa hapo kula nyamaa, tena uniambie kabisa nipige code gan,

Maana kuna mualiko nimepewa, hizo code za kutupia ni jau.
nifanyie fea, nilipuke km navyolipukagaaa.

Nakuja na ndizi kabisaa, hata usipatee tabuu shangazii akee.
Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tu😀
Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salam 😀ingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama🤣🤣🤣
 
Naomba picha wakati unakunywa maji ya baridi😂
Unadhani natania 😂😂😂
IMG_7769.jpeg
 
Mjep

Wee baba tamuuu, kisa nilikataa kubadili dini ndo na Eid hainihusuu?? Hebu ufanyee uletee mazaga zaga niandaee mnuso m1 matratraa sanaaa, yaan ntatoa kitu ki1 cha kwendraaaa utajilamba ulimi na kujiuma menoo.

au nije hapo hapo kwa mke mwenza mama wawili??
 
  • Thanks
Reactions: 511
Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tu
Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salam ingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama
Shangaziii huku walikonipa mualiko, wanasema nipige code za kujisitiri yaan nisioneshee hata ngozi,

Sasa mie nshazoea mifupa yotee nje ipambane na jua, naweza wapiii?? Woiiiiih.

hatariii tupuu.
 
Back
Top Bottom