Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ndio mimi
Hajui ๐๐๐๐
Nakaa nae mtaa mmoja uwii huwa namkwepa jamani
Kuishi na pastor mtaa mmoja kazi kweli , unaenda zako kuzurura usiku mara huyo hapo
Huwa najificha ๐๐
Ndio mimi
Unadhani natania ๐๐๐Naomba picha wakati unakunywa maji ya baridi๐
๐๐๐Jaribu kama hatujakukuta AICC hapo
Shangaziii huku walikonipa mualiko, wanasema nipige code za kujisitiri yaan nisioneshee hata ngozi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Karibu aunt
Wew njoo upendavyo tu muhimu andaa tumbo tu[emoji3]
Wamekupa code Gabi nikupe majibu
Wakikuuliza Asalam aleykum unajibu waleykum salam [emoji3]ingia ndani nawa sema bismillah Anza na nyama[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sioni picha daaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unaweza ukalipata huko church๐ wale madon wanaingia ibada ya kwanza na suti wamepaki v8 njeSponsor out ๐๐๐๐๐
Kiukweli i wont brag ,kanisani nipo serious sana kauzu ile mbaya ๐๐
Sioni ubaridi hapo๐Unadhani natania ๐๐๐View attachment 2672707
Komaa na app, utapata tuzoSioni picha daaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nikitoka tu shwaa huyounaweza ukalipata huko church๐ wale madon wanaingia ibada ya kwanza na suti wamepaki v8 nje
๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃPole mm nishaandaa jalbibi langu hapa sema Sina mtoko ni hapahapa homeShangaziii huku walikonipa mualiko, wanasema nipige code za kujisitiri yaan nisioneshee hata ngozi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mie nshazoea mifupa yotee nje ipambane na jua, naweza wapiii?? Woiiiiih.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupuu.
mbona kaa namuona Tinsley hapa๐Wala watutumii nguvu nyingi. View attachment 2672743
Tuzo za JF ninazo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Komaa na app, utapata tuzo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna code nilitaka nitupiee leo, ila bas tyuuh ntatupia weekend, leo nyamaa siachii kabisaa.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole mm nishaandaa jalbibi langu hapa sema Sina mtoko ni hapahapa home
HahahahaWala watutumii nguvu nyingi. View attachment 2672743
Mtoko njoo ,Msasani Mwisho๐คฃ๐คฃ๐คฃPole mm nishaandaa jalbibi langu hapa sema Sina mtoko ni hapahapa home
uko tayari kua na mla mihogo??๐Akhuu aisee
Hela kitu gani ๐๐๐
Shukrani sana Kwa mualikoMtoko njoo ,Msasani Mwisho