Mad Max JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 31,322 Reaction score 89,499 Jun 26, 2023 #346,581 ππβ€οΈππ
Lenie JF-Expert Member Joined Aug 3, 2012 Posts 17,221 Reaction score 50,171 Jun 26, 2023 #346,582 rabbitus said: Hakina utanifanga nikonde kwa maraha, maana bagia za mrembo ni tamu sana. Nitakulinda kama nyuki na asali yake. π Click to expand... Hahaa ukonde tena? Sio utanenepa jamani
rabbitus said: Hakina utanifanga nikonde kwa maraha, maana bagia za mrembo ni tamu sana. Nitakulinda kama nyuki na asali yake. π Click to expand... Hahaa ukonde tena? Sio utanenepa jamani
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,583 Kigi Makasi said: 1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko. 2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi 3. Kahama pia, japo siyo sana... Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo Click to expand... Barikiwa sanaa mnywaniii ! Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee!π Ngoja nifanye comparisons nione wakora munooo!
Kigi Makasi said: 1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko. 2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi 3. Kahama pia, japo siyo sana... Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo Click to expand... Barikiwa sanaa mnywaniii ! Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee!π Ngoja nifanye comparisons nione wakora munooo!
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 26, 2023 #346,584 Antonnia said: Barikiwa sanaa mnywaniii ! Wakora munoo! Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee! Click to expand... bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
Antonnia said: Barikiwa sanaa mnywaniii ! Wakora munoo! Afu kweli katoro ni karibu sana pale itabidi nikupitie Bmlo unieskoti asee! Click to expand... bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,585 Kigi Makasi said: 1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko. 2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi 3. Kahama pia, japo siyo sana... Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo Click to expand... Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii! Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
Kigi Makasi said: 1. Mutukula wanauza baadhi ya vitu bei chee kuliko dar, mfano mashuka utayolalia ukija ni ya huko. 2. Katoro napo hawajambo kwa mitumba sijui wanaitoaga wapi 3. Kahama pia, japo siyo sana... Nakuongezea tu alternatives to exploit mrembo Click to expand... Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii! Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!!
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,586 Kigi Makasi said: bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa Click to expand... Lol Ngara kote huko mbona mbali sanaa uwiii!! Hamia Missenyi Au Muleba japo muleba pamepoa sanaa hata hapajachangamka kabisa!!
Kigi Makasi said: bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa Click to expand... Lol Ngara kote huko mbona mbali sanaa uwiii!! Hamia Missenyi Au Muleba japo muleba pamepoa sanaa hata hapajachangamka kabisa!!
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,587 Kigi Makasi said: bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa Click to expand... Unaliwakilisha Kwenye michuano ya nini mnywanii???ππ
Kigi Makasi said: bmlo palinishinda, nipo Ngara hapa mara kadhaa napata nafasi ya kuliwakilisha taifa kwenye michuono ya kimataifa Click to expand... Unaliwakilisha Kwenye michuano ya nini mnywanii???ππ
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 26, 2023 #346,588 Antonnia said: Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii! Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!! Click to expand... Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka
Antonnia said: Mtukula nguo beii kubwaa labda kama sijafika hizo chimbooo za bei nafuuu unielekeze mnywanii! Na Vitenge pia bei nafuu japo Vitenge haizidi kigoma!! Click to expand... Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 26, 2023 #346,589 Antonnia said: Unaliwakilisha Kwenye michuano ya nini mnywanii??? Click to expand... yale yale tuu, sasa nikipata mnyaru si ndo naliwakilisha taifa?
Antonnia said: Unaliwakilisha Kwenye michuano ya nini mnywanii??? Click to expand... yale yale tuu, sasa nikipata mnyaru si ndo naliwakilisha taifa?
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 26, 2023 #346,590 Tinsley said: Ni kukaza tu Mungu ni mwema Kusubiri tu rehema zake . Click to expand... Kwa kwelii
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 26, 2023 #346,591 CAPTORHINOMORPHS said: Hainaga kupumua ,, anza michongo mapema Click to expand... bhana jau sasa aaah
CAPTORHINOMORPHS said: Hainaga kupumua ,, anza michongo mapema Click to expand... bhana jau sasa aaah
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,592 Kigi Makasi said: Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka Click to expand... Ahaa hapo nimekupata!
Kigi Makasi said: Sijawahi kujaribu biashara dear, me nachukuaga zangu binafsi tuuu (rejareja) nilikuwa naona nafuu kubwa hasa kwenye mashuka Click to expand... Ahaa hapo nimekupata!
cocastic JF-Expert Member Joined Nov 30, 2019 Posts 112,159 Reaction score 181,303 Jun 26, 2023 #346,593 Mad Max said: View attachment 2669413 Click to expand... Nimependa kucha za huyo mdada,
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,594 Kigi Makasi said: yale yale tuu, sasa nikipata mnyaru si ndo naliwakilisha taifa? Click to expand... πππππ!! Wanyaru nasikia ndio wenyewe sasa bk wakasomeπ wanarushaaa balaaaπ!! Afu ngara wamejaaa kama wote!!
Kigi Makasi said: yale yale tuu, sasa nikipata mnyaru si ndo naliwakilisha taifa? Click to expand... πππππ!! Wanyaru nasikia ndio wenyewe sasa bk wakasomeπ wanarushaaa balaaaπ!! Afu ngara wamejaaa kama wote!!
5 511 JF-Expert Member Joined May 8, 2023 Posts 4,232 Reaction score 7,848 Jun 26, 2023 #346,595 Lenie said: Hahaa ukonde tena? Sio utanenepa jamani Click to expand... Natakiwa nikonde maraha yakizidi Kunenepa ni jau, nitakuwa goigoiπ
Lenie said: Hahaa ukonde tena? Sio utanenepa jamani Click to expand... Natakiwa nikonde maraha yakizidi Kunenepa ni jau, nitakuwa goigoiπ
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,596 Mad Max said: ππβ€οΈππ View attachment 2669413 Click to expand... Love in the air !!
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 26, 2023 #346,597 Antonnia said: !! Wanyaru nasikia ndio wenyewe sasa bk wakasome wanarushaaa balaaa!! Afu ngara wamejaaa kama wote!! Click to expand... yaaani usiombe dr, ndo niliamini kwann mto kagera ulianzia Rwanda ukamwagikia Tanzania.
Antonnia said: !! Wanyaru nasikia ndio wenyewe sasa bk wakasome wanarushaaa balaaa!! Afu ngara wamejaaa kama wote!! Click to expand... yaaani usiombe dr, ndo niliamini kwann mto kagera ulianzia Rwanda ukamwagikia Tanzania.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 72,016 Reaction score 177,327 Jun 26, 2023 #346,598 Kigi Makasi said: yaaani usiombe dr, ndo niliamini kwann mto kagera ulianzia Rwanda ukamwagikia Tanzania. Click to expand... Hivi ukanda ule kuna siri gani waitu lol!! Au ni nature ya vyakula????πππ
Kigi Makasi said: yaaani usiombe dr, ndo niliamini kwann mto kagera ulianzia Rwanda ukamwagikia Tanzania. Click to expand... Hivi ukanda ule kuna siri gani waitu lol!! Au ni nature ya vyakula????πππ
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 26, 2023 #346,599 Antonnia said: Maeneo ya vijinini changamoto Lughaaaa! wengi wakija dukani wanaulizia vitu kwa kilugha!!! Wabaguzi balaa!! Labda biashara ya guest!! Click to expand... we na hiyo rangi yako basi hupati shida kuuza, wateja wanakuja kushangaa muuzaji mzungu
Antonnia said: Maeneo ya vijinini changamoto Lughaaaa! wengi wakija dukani wanaulizia vitu kwa kilugha!!! Wabaguzi balaa!! Labda biashara ya guest!! Click to expand... we na hiyo rangi yako basi hupati shida kuuza, wateja wanakuja kushangaa muuzaji mzungu
K Kigi Makasi JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 1,309 Reaction score 2,568 Jun 26, 2023 #346,600 Antonnia said: Hivi ukanda ule kuna siri gani waitu lol!! Au ni nature ya vyakula???? Click to expand... Nafikiri ni nature tu, japo wengine wanasema ni ndizi ila sidhan, mbona moshi wanakula sana ndizi lakin mpaka tuweke mate
Antonnia said: Hivi ukanda ule kuna siri gani waitu lol!! Au ni nature ya vyakula???? Click to expand... Nafikiri ni nature tu, japo wengine wanasema ni ndizi ila sidhan, mbona moshi wanakula sana ndizi lakin mpaka tuweke mate