Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,361
- 176,181
Watag tu.Niwatag kabisa au niwataje kawaida tu??
Watag tu.Niwatag kabisa au niwataje kawaida tu??
Au umefananisha na kitalolo...
Wanyaki neno kitalu ni jina la ukoo
Shee hilo pazia ubadilishe sasa.
Watag tu.
Sijajua T3 sasa hivi kama wale wakuda wapo, maana yalikuwa yanajitegesha pale na vitambi vyao zote njaa tu zile...Uzuri mimi wadogo zangu wanakuja kunitembelea kila mwaka, nitawapeleka madukani wenyewe na vingine watanipora wenyewe waende kujiju huko kwenye customs bongo kuviingiza.
Hapa ndipo wanaosali wanaelewa maana ya "usitutie katika majaribu..."
Mnatujazia nyuki.
Ulikuwa wapi? Picha imeshangaana hapo zaidi ya nusu saaHaya rudisha hiyo picha fasta kabla mashetani yangu ya kinyakyusa hayajapanda saa hii

sasa ma id yote hayo ya nini eti?? Au labda mimi ndiyo bado sijaona faida yake?? Shida za nini kuishi kama digidigi??
Hujatag vizuriHahah...@Mshana Jr hebu du ze nidful
Yup maasai food, maarufu sanaKitalolo ndio chakula e?