Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,276
- 108,283
Last time i checked, barrel moja zile za 55 gallons alikuwa anacharge 250$...
Humo ndani ya barrel unaweza squeeze nguo nyingi sana...
Hiyo charges zinajumuisha kufuata mzigo kwa addr yako na kusafirisha, ukifika Dar unaenda pick godown zao/nduguzo wanapick pia it's possible...
Humo ndani ya barrel unaweza squeeze nguo nyingi sana...
Hiyo charges zinajumuisha kufuata mzigo kwa addr yako na kusafirisha, ukifika Dar unaenda pick godown zao/nduguzo wanapick pia it's possible...
Hawamtozi kodi za ajabu? Mimi tatizo langu sitaki kumletea mtu wa familia zawadi, halafu nimpe mzigo wa kodi za ajabu kama tunafanya biashara.







