Urban Edmund
JF-Expert Member
- Mar 20, 2018
- 2,267
- 3,647
kumekucha wadau mjiself sasa
Ndio dawa gani hiyo?😂😂Umekuza aisee hongera
Mwenzio nimejitia kihere here
kupaka dawa ya mhogo kwenye nywele najuta eeh nimeungua 😂😂
Nazisuka dearUsinyoe kipenzi
Km zimekatika bora usuke kwa muda unapotafuta namna ya kuziboresha
Weh najua hataNdio dawa gani hiyo?😂😂
Bado fupi zinaonekana ndefu hapo mbele tu
Anhaa nimeijuaWeh najua hata
Watu wa huku sijui wameitoa wapi
Ni natural yaani ukiweka tu na hapo hapo unashangaa nywele imekolea
GoodNazisuka dear
Na nimepata msusi mzuri basi nasuka mara kwa mara .
Nimechoka relaxer , i wanted to try something newNdio dawa gani hiyo?😂😂
Bado fupi zinaonekana ndefu hapo mbele tu
🤣🤣🤣Ila TinWeh najua hata
Watu wa huku sijui wameitoa wapi
Ni natural yaani ukiweka tu na hapo hapo unashangaa nywele imekolea
Nzuri sana thoughAnhaa nimeijua
Kuna dawa fulani hivi miaka ya nyuma ni jamii ya hiyo😆
Inababua nywele hatari halafu inauzwa cheap sana
Hahaa narudia 😂😂😂🤣🤣🤣Ila Tin
Usirudie
Kumbe, poleNimechoka relaxer , i wanted to try something new
Toka nipo mdogo napaka tu mi dawa ya ajabu .
Nilichokosea ni kujipaka mwenyewe .. Nimeungua mbele hapa .
Hee😂Nimechoka relaxer , i wanted to try something new
Toka nipo mdogo napaka tu mi dawa ya ajabu .
Nilichokosea ni kujipaka mwenyewe .. Nimeungua mbele hapa .
Inaitwaje?Nzuri sana though
Hupotezi muda na pia nywele inachelewa kuota .
Eeh unazipatia sanaKumbe, pole
Mi pia najiweka mwenyewe
Cha mhimu upate dawa inayoendana na Sina ya nywele yako
InawezekanaHee😂
Unajipakaje sasa?
Ungeomba mtu akupake.
Kinachonipa shida,wengi hawajui Bado namna ya ku-retouchEeh unazipatia sana
Na zilivyo ndefu .
Yeah ni ukipata itakayokupenda
Tafuta inayoendana na nywele yakoHahaa narudia 😂😂😂
Imebaki yaani , zikiota tu napaka
Nyie hamjui naungua zaidi na dawa za kisasa
Nimezichoka
Rahisi uwa najipaka mwenyeweHee😂
Unajipakaje sasa?
Ungeomba mtu akupake.
DuhRahisi uwa najipaka mwenyewe
Eeh sasa hii yule dada kaniambia isishike chini ,
mimi bhana uwii nikasema ah itakuwa kawaida tu nimezoea eh kumbe muhogo ni mchungu sana dadeq .
Napaka tu tayari nikaanza kusikia naumia . nikawahi kuosha na zimekolea 😂😂😂
Saluni wanazingua sana , mimj napenda kwenda saluni za wanaume kwanza wanajua kustyle nywele .Kinachonipa shida,wengi hawajui Bado namna ya ku-retouch