Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hee😂
Unajipakaje sasa?
Ungeomba mtu akupake.
Rahisi uwa najipaka mwenyewe
Eeh sasa hii yule dada kaniambia isishike chini ,

mimi bhana uwii nikasema ah itakuwa kawaida tu nimezoea eh kumbe muhogo ni mchungu sana dadeq .

Napaka tu tayari nikaanza kusikia naumia . nikawahi kuosha na zimekolea 😂😂😂
 
Rahisi uwa najipaka mwenyewe
Eeh sasa hii yule dada kaniambia isishike chini ,

mimi bhana uwii nikasema ah itakuwa kawaida tu nimezoea eh kumbe muhogo ni mchungu sana dadeq .

Napaka tu tayari nikaanza kusikia naumia . nikawahi kuosha na zimekolea 😂😂😂
Duh
Dawa gani hiyo
Inaitwaje 🤣
 
🙏
 

Attachments

  • Screenshot_20230610-074751_2.jpg
    Screenshot_20230610-074751_2.jpg
    52.3 KB · Views: 9
Rahisi uwa najipaka mwenyewe
Eeh sasa hii yule dada kaniambia isishike chini ,

mimi bhana uwii nikasema ah itakuwa kawaida tu nimezoea eh kumbe muhogo ni mchungu sana dadeq .

Napaka tu tayari nikaanza kusikia naumia . nikawahi kuosha na zimekolea 😂😂😂
😂😂😂😂
 
Saluni wanazingua sana , mimj napenda kwenda saluni za wanaume kwanza wanajua kustyle nywele .

ukitoka na umependeza na nywele zavutia .
Sanaa
Wengi wapo kibiashara , kwahiyo usipoijua nywele yako ni shida
 
Nilitumia olive baada ya muda aisee ikanifanya niwe kituko

Nilikosea na kutumia ya kopo
Huku kwenye kichogo zote zikakatika .
Ikabidi ninyoe mwaka ule .
Washenzi ,waliniharibia nywele,nimehangaika sn
Maana baadae walitoa aina tofauti km 8 hivi
Ile nayotumia ikaondolewa kabisa sokoni🙌
Nimeteseka mpk kuja kutulia kwenye mega
 
Back
Top Bottom