myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 174,811
- 721,136
Salam kwenu wadau
UmeamkajePowaa
wamejichanganya kwa mwamba 😅😅Wanna isoma namba😂🤣
Usinyoe kipenziSame here
Yaani nazibembeleza hizi nywele.
Zimekatika sana lakini sijanyoa
Nipo nazo nadunda 😂😂 .
Sura zetu wengine tusuke tu
😳😳😳Ooh noUmekuza aisee hongera
Mwenzio nimejitia kihere here
kupaka dawa ya mhogo kwenye nywele najuta eeh nimeungua 😂😂
Ndio dawa gani hiyo?😂😂Umekuza aisee hongera
Mwenzio nimejitia kihere here
kupaka dawa ya mhogo kwenye nywele najuta eeh nimeungua 😂😂
Nazisuka dearUsinyoe kipenzi
Km zimekatika bora usuke kwa muda unapotafuta namna ya kuziboresha
Weh najua hataNdio dawa gani hiyo?😂😂
Bado fupi zinaonekana ndefu hapo mbele tu
Anhaa nimeijuaWeh najua hata
Watu wa huku sijui wameitoa wapi
Ni natural yaani ukiweka tu na hapo hapo unashangaa nywele imekolea
GoodNazisuka dear
Na nimepata msusi mzuri basi nasuka mara kwa mara .
Nimechoka relaxer , i wanted to try something newNdio dawa gani hiyo?😂😂
Bado fupi zinaonekana ndefu hapo mbele tu
🤣🤣🤣Ila TinWeh najua hata
Watu wa huku sijui wameitoa wapi
Ni natural yaani ukiweka tu na hapo hapo unashangaa nywele imekolea
Nzuri sana thoughAnhaa nimeijua
Kuna dawa fulani hivi miaka ya nyuma ni jamii ya hiyo😆
Inababua nywele hatari halafu inauzwa cheap sana
Hahaa narudia 😂😂😂🤣🤣🤣Ila Tin
Usirudie
Kumbe, poleNimechoka relaxer , i wanted to try something new
Toka nipo mdogo napaka tu mi dawa ya ajabu .
Nilichokosea ni kujipaka mwenyewe .. Nimeungua mbele hapa .
Hee😂Nimechoka relaxer , i wanted to try something new
Toka nipo mdogo napaka tu mi dawa ya ajabu .
Nilichokosea ni kujipaka mwenyewe .. Nimeungua mbele hapa .