Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
 

Attachments

  • FB_IMG_16876918596560089.jpg
    FB_IMG_16876918596560089.jpg
    18 KB · Views: 6
Weh najua hata
Watu wa huku sijui wameitoa wapi

Ni natural yaani ukiweka tu na hapo hapo unashangaa nywele imekolea
Anhaa nimeijua
Kuna dawa fulani hivi miaka ya nyuma ni jamii ya hiyo😆
Inababua nywele hatari halafu inauzwa cheap sana
 
Nazisuka dear
Na nimepata msusi mzuri basi nasuka mara kwa mara .
Good
Zikishatulia ,tafuta dawa nzuri ya box , Cha msingi jua texture ya nywele yako.
Km ni ngumu,nyingi basi dawa ambayo ni 'super' ndo unatakiwa uweke..
Maana Kuna super, regular na normal....
Km a kawaida sio ngumu,nyingi,sio nyepesi basi regular.....
Na km ni chache ,nyepesi basi normal inakuhusu....
Na hapa ndo wengi wanashindwa, na watu wa saluni wanaojua kuelekeza mi wachache
 
Nimechoka relaxer , i wanted to try something new

Toka nipo mdogo napaka tu mi dawa ya ajabu .

Nilichokosea ni kujipaka mwenyewe .. Nimeungua mbele hapa .
Kumbe, pole
Mi pia najiweka mwenyewe
Cha mhimu upate dawa inayoendana na Sina ya nywele yako
 
Back
Top Bottom