cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,160
- 181,296
Uko wapi sasahivi?Nishaomdondoka wizoooo
Next week dar

Dodoma hapa nilikuwa napumzika🤣🤣🤣Uko wapi sasahivi?
Wizo unakula bata tu aisee![]()
Mjep ni mtu na nusukwa kweli tajiri wa majobless
maeneo ganiDar nimeinyooshea mikono,
Kigoma kimepita hapa mtaani, wadada wanasasambua hatariii
Yaan wamevurugwaa vibayaaaa, nasikia wanaenda huko mbali.
Ingekua karibu mbna ningeunga na miee kwenda kusebenzukaaa.
Sa itakuaje huoni pichabrowser siiwezi kwa kweliii.
Kama hii dearNidadavulie ndugu dada expert wa color![]()
Atake asitakee, ataongezewa mudaMjep ni mtu na nusu
Rais wetu majobless siye twatembea kifua mbele
Mitano Mingine kwake.




City centermaeneo gani
Napambanaa hivi hivi.Sa itakuaje huoni picha
Na akikataa atalazimishwaAtake asitakee, ataongezewa muda![]()
Wacha weeDodoma hapa nilikuwa napumzika
Kesho ,Iringa
Au hata mwaka kama vipimwezi kabisaa yaan.

Yaani walaaniwe sanabrowser siiwezi kwa kweliii.

Naona zile location zinakudanganyaThubutuuuuu yakooo![]()


Naona zile location zinakudanganya
Hujui kama nacheza bongo movie siku hizi![]()




nimechekaaa sanaaa, kuna siku mtu ana nambia ninafaa kuwa Actor, tatizo nitacheza uhusika upiii.Au hata mwaka kama vipi
Godoro lipo tayari kule chumbani![]()




hatariiii tupuuu.Pole sana 😁😁😁Nimecheka hadi nimetaka kudondoka