Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,518
- 235,235
Wacha weeDodoma hapa nilikuwa napumzika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kesho ,Iringa
Wacha weeDodoma hapa nilikuwa napumzika[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kesho ,Iringa
Au hata mwaka kama vipi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mwezi kabisaa yaan.
Yaani walaaniwe sana[emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] browser siiwezi kwa kweliii.
Naona zile location zinakudanganya[emoji23]Thubutuuuuu yakooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na akikataa atalazimishwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa sanaaa, kuna siku mtu ana nambia ninafaa kuwa Actor, tatizo nitacheza uhusika upiii.Naona zile location zinakudanganya[emoji23]
Hujui kama nacheza bongo movie siku hizi[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hatariiii tupuuu.Au hata mwaka kama vipi
Godoro lipo tayari kule chumbani[emoji23]
Pole sana 😁😁😁Nimecheka hadi nimetaka kudondoka
Poleee😁😁🤣🤣🤣 Nimecheka
Mjep ni mtu na nusu
Rais wetu majobless siye twatembea kifua mbele
Mitano Mingine kwake.
YesssKama hii dear
😅😅JmnWacha wee
Boss lini unanipeleka Serengeti 🤣🤣Tunakupa nafasi ya Doto Magari
Wewe hata Mwijaku haoni ndani mama junia 😁😁😁
Mwijaku ni tarumbeta aiseeeTunakupa nafasi ya Doto Magari
Wewe hata Mwijaku haoni ndani mama junia [emoji16][emoji16][emoji16]
Watakula nn mjini,lazima wawe vileMwijaku ni tarumbeta aiseee
Nyie[emoji119]
Juzi kati nilikuwa naye ofisini yaani jamaa ni hatari Kwa uaristote
Ngoja tumuulize muongozaji wetu ratiba yake iko vipi DepalBoss lini unanipeleka Serengeti 🤣🤣
Sina hta gharama Mimi
PowaaZa jumapili
Umependeza sanaa binti sayuniiiii!!
Tayana-wog huyo malaika wa Bwana huwa hakoseagi anajua kupendeza baraaa🔥🔥🔥Umependeza sanaa binti sayuniiiii!!
Naomba nione naked ukiwa kwenye miwaniii pulllllllliiiiiiiiizzzzz!!🤩🤩🤩😍