GenuineMan
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 7,068
- 16,381
Itakuwa kwangu mimi naona kichache ila kwako ni kawaida.Acha utani bas mkuu
Itakuwa kwangu mimi naona kichache ila kwako ni kawaida.Acha utani bas mkuu
Ukoko ukila unasugua na sufuriKitapoa, nakuja kupakua mwenyewe.
Napenda na ule ukoko wake
Asante mm kachumbali nataman kukata kila siku ila muda sina mda mwingine nachelewa kutoka job naachana naySijui ni mimi pekee yangu ama la!.
Ila kachumbari haijawahi kunivutia kabisa. Situmii hata ugali unikabe kooni bila mboga.
Hongera Mkuu, chakula kitamu.
Mimi sio mraji naogopa kitambiItakuwa kwangu mimi naona kichache ila kwako ni kawaida.
Akuuuu 😅Ukoko ukila unasugua na sufuri
unapenda maisha mazuri sana....😂Hiko chakula kama hakina nyama ni ubatili
We hupendi?unapenda maisha mazuri sana....😂
sipati picha
hapo unasuuza koo hushibiJack Palladino Lenie Karibuninsasa
napenda😂We hupendi?
Ahahaha wew nishakuzoeahapo unasuuza koo hushibi
si ulisema unataka kunenepa😂Ahahaha wew nishakuzoea
Good 🤗napenda😂
Ndio ila sio kula kama mchwasi ulisema unataka kunenepa😂
Mbona nyama chache sana?🥺Jack Palladino Lenie Karibuninsasa
Nyingi utakula kwenye harusi yao sawaMbona nyama chache sana?🥺
😅😅😅Nyingi utakula kwenye harusi yao sawa
Vumilia tu
Nimewasafishia na jikoniwee usinambiee.
Nakujaa nae