dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,805
- 61,660
mbona parefu ?Alinimbia nilipe hiyo kama mdhamini ndipo ugongewe visa.
mbona parefu ?Alinimbia nilipe hiyo kama mdhamini ndipo ugongewe visa.
[emoji23][emoji1787][emoji1787]View attachment 2665477
2million inatosha, sababu nishaitumia kidogo[emoji12]
Itafute altered carbon, Ina sci-fi 🔥🔥.Asante me nina mzigo wa maan ntaanza kuangalia leo nyt.
Haya sawaItafute altered carbon, Ina sci-fi 🔥🔥.
👉Master classs
Haya sawaHuyo hajui utani, anapenda kumfanya mtu aonekane wa hovyo ana masifa ya kijinga [emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]
Utani wake anavuka line ya utani
Mimi wala sina shida nae dia niko poa [emoji7][emoji7]
😅 😅 😅 hii ni mshahara wangu kwa miezi 11 aiseeUmezoea selfie wewe, $5000 pesa ndogo sana kwa wife material bro.
Mrembo Saint Anne, Mtoto mzuri nambie?
Bro una umwa ehu😂🤣🤣, Eti million 10 ndogo🤔😂Umezoea selfie wewe, $5000 pesa ndogo sana kwa wife material bro.
Bro mi ni kwa Miaka 10🤣😂😅 😅 😅 hii ni mshahara wangu kwa miezi 11 aisee
dah, nasindikiza mzee, kwa ivyo kwa tinsley nihesabie maumivu ?Duu hapo unaishi au unasogeza siku?
kanistua aiseeBro mi ni kwa Miaka 10🤣😂
Ndio unataka ukamhonge babe wako
Kama 10k miezi sita imagine 2m mika mingapi[emoji28]
Kumekucha broo, amka usije kojoa kitandani 🤣😂😂.Duu hapo unaishi au unasogeza siku?
[emoji28] [emoji28] [emoji28] hii ni mshahara wangu kwa miezi 11 aisee