no siwezi kulainika kwa ambao hawapo kwa list yangu aisee,, siwezi kusema sana ila kuna watu nimegoma kabisa japo kufahamiana nao tu achilia mbali kuonana nao..
Mie kuna mtu aliwahi niambia mwandiko wangu unafanana na wa id moja hivi kongwe tu humu akanitajia hiyo id halafu akanambia huyo dada anaishi nje nikamuambia siyo mimi sina id zaidi ya moja humu
no siwezi kulainika kwa ambao hawapo kwa list yangu aisee,, siwezi kusema sana ila kuna watu nimegoma kabisa japo kufahamiana nao tu achilia mbali kuonana nao..