YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
@Mjep toa haraka ratiba ya harusi, ndugu zangu wako wima wima kucheza kwaitoooo![]()
Shopping tunaenda dubenga




@Mjep toa haraka ratiba ya harusi, ndugu zangu wako wima wima kucheza kwaitoooo![]()




😅😅😅 kituuu heviii kikitoka mtu anaweza hisi kapigwaa jiwe tumbooniwatu weuweeeeeeeeeeeeh
Hapana si mimi kiukkweli nimemuelewa ile mbayaNaona mnapendana sana ila mmoja wenu ni kama anamzuga mwenzake, japo sijamjua ni wewe au baby Yoda.
Mie hapana mjombaa!! Hivyo Sio vitruu vyangu kabesaaa!




hatareeeeee na nusu anaforce mambo😉😉😉 pita basi hapa hata unisalimie basi Cute WifeUtazimia utupe shida ya kukupepea![]()
muambie anagongewa kama kauwaaaa.. na haina makombo wala harama.. huwa ina oshwaa tu na kupakwa ndimu rimaoo inarudi kuwaaa piruuu nae anapewaa




kwendraaaaaa hagongewiacha zakoo.. hujawai kucheza mechi ya kirafi nje huko 😅😅.. ukagawaaa maunoo kama mwendawazimukwendraaaaaa hagongewi
Watu weuweeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!
Kuwa mke wa boss mchezooo, lazima status imeinteniwe.
Ni baby wa jf au kweli kweli ?Ana wivu anahisi nitafanya kweli
Akwendree kwanza asinichoshe
kituuu heviii kikitoka mtu anaweza hisi kapigwaa jiwe tumbooni




utadhani lava ya volcano, woiiiiiihhizi by product ya soup ya satooo, supu ya pwezaaa, supu kuku wa kienyejii.. korosho kama zote, karangaa, madafu kama kawa .. madiko diko kama yotee, mauji lishee maziwa ya kienyeji n.k.. alafu nakata miezi sijapiga shuti.. kondoma inapasukaa kwa pressure na uzito wake
![]()








AmenYeaaaaaah kaa mko wa kusubiri.
niaje mrembo
Please shem mwambie hadi nakosa usingizi , namuwaza tuOk. Nimewashauri sana ila mnani disappoint
Ngoja Kwanza nibaki tu shem mtazamaji. Halafu mkipatana wenyewe inakuwa nzuri sana kuliko mimi nikiwapatanisha tena. Siku nyingine nitawadai ada ya usuluhishi.
Ni baby wa jf au kweli kweli ?
Yupo protective , anaonyesha kukupenda .



wa jf lakini ana hekahekaKashafall in love huyowa jf lakini ana hekaheka