YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,154
- 36,361
niaje mrembo
Poa mshamba, ulikuwa wapiii!!!
niaje mrembo
Duh nifanye nn anielewe uwiiiNgoja kwanza ka jeuri kako kaishe, najua wewe ndie ulimkorofisha na vi english vyako vile. Alinionyesha ile "part away" nikabaki mdomo wazi.
Kashafall in love huyo
Wivu mtamu sana unajua kama wapendwa au tunasogeza siku .



Ntakuja nae hapo msamala miembeniiiNawasubiri msamala hapa, lazima shem aonje lidelele kwanza.




Please shem mwambie hadi nakosa usingizi , namuwaza tu
Anisamehe tu jamani one last time hii .. Sirudii tena .
Kumbuka lile fungu heri wapatanishi maana wata ..... Malizia mwenyewe .




nilikua nimejifungia room nafanya yangu😂Poa mshamba, ulikuwa wapiii!!!
Msalimie piaa mlongoHalafu maria mrope anakusalimia sana.
Haya sorry zangu zenyewe hazionagi sijui , niliomba hadi kwa lugha yake wapi .Mwambie sorry, sizani kama atakukatalia.
😂😂😂Umetishaaa mpk vifungu vya bible umeshika, unachomekea kwenye tongozo![]()
Huyu kazamilia sana, atanipiga pande zote yani



Hapana aiseeeLabda kakublock
Tumia plan B, kwani namba yake unayo moja tu?
niaje mzee wa kukaanga maini😂Hi bro
Yani acha tu hadi aelewe somo ..
Shemeji aplay role yake sasa .

Nimepitwa eeh😀shangazii ulikua wapiii wee??
Poa bro, maini lazima yawe rost kabisaniaje mzee wa kukaanga maini😂
Yuko mbali napigaje 😂😂😂Unaniuzi unavyochelewa kupiga show![]()