Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ngoja kwanza ka jeuri kako kaishe, najua wewe ndie ulimkorofisha na vi english vyako vile. Alinionyesha ile "part away" nikabaki mdomo wazi.
Duh nifanye nn anielewe uwiii
English inaniponza
Nimekoma kabisa ..
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Please shem mwambie hadi nakosa usingizi , namuwaza tu
Anisamehe tu jamani one last time hii .. Sirudii tena .

Kumbuka lile fungu heri wapatanishi maana wata ..... Malizia mwenyewe .

Umetishaaa mpk vifungu vya bible umeshika, unachomekea kwenye tongozo
 
Mjep

Vuzi unaloo?? Leo nataka nikunyoee mwenyewee, Shaver nakuja nayooo, Johari rotanaa leo kutakua na mpambano wa kukata na shoka.

Afu leo nataka uunge bao 3 juu kwa juu, 2 nshazoea bhana mume wangu.
😂😂😂Nimecheka
Aunt wew noma kha
 
Back
Top Bottom