Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ulivokua unaogopa ulikua unawaza hivo sana Ndiomana umeota hahahaa!!!
Yaani
Ila ndoto nimeota usiku leo.

Kuvuka nimeanza muda
Picha lilianza interview nikapangiwa Mwalimu Nyerere memorial 😆
Tena changes nimeona baadaye,before niliwekwa Mlimani

Akili ikahama😂
Nikasema ah ntapita tu
Nimefika pale nikaona watu wengi tu wanapita.

Tangu hapo niliacha kuogopa.


Ila kuogelea siwezi
Heri waninyonge.
 
Back
Top Bottom