Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 72,009
- 177,304
☺️☺️☺️Aisee
Hii ofisi iko wapi jamani nije
Ofisi nzuri hivi🔥
Nimepita hapo muda si mrefu
Njoo mpaka Azam Marine tuongozane!![]()

Mimi nilipelekwa milembe nikatoroka nimevaa kotivla daktari.
Khakhakhaaaa!! Walai akili zako sis putin akasome🤣🤣🤣!!Mimi nilipelekwa milembe nikatoroka nimevaa kotivla daktari.
Safi sanaSasa hivi inatokea mala moja moja sanaa. Kama hivi tu. Ila mda mwingi nipo sehemu mojaa.. ! Karibu sana dodoma
View attachment 2662935View attachment 2662936
Kuzuri kweli 😊Nimepita hapo muda si mrefu
Kumbe Zenji huko
Kuzuri.
I wish nipande zile meli siku moja.
😒😒😒 haya mambo umeyajulia wapi jamani Lovelovie au nani fundisha wewe hizi makitu mbayaaa
Navuka feri kila sikuKuzuri kweli
Kuna siku ulisema unaogopa maji???
Kama sijajichanganya ntakuwepo kukushika mkono!!!![]()
hadi nishazoeaSimple but classy...😊
Kwa hyo mim ni kizuka au sioHamna mtu hapa![]()
Umejifunza kwa lazima!!!🤗Navuka feri kila sikuhadi nishazoea
Mungu huyuu
Amenipeleka sehemu ya kuvuka maji
Acha tuUmejifunza kwa lazima!!!![]()

Ngoja nianze kusikiliza moja moja hapa 😂😂😂😂
Ulivokua unaogopa ulikua unawaza hivo sana Ndiomana umeota hahahaa!!!Acha tu
Nilikuwa naogopa siku za mwanzo
Siku hizi nishazoea
Tena nashika hadi maji
Hata kuwe na mawimbi vipi hata sijali
Umbali mfupi vile lazima tuokolewe tu.
Usiku Leo nimeota kidude kile kidogo seataxi eti kimepinduka juu chini.
😂😂😂😂Unanichukia, unanikunjia riziki inakutia kiwewe, basi nakwambia wanavyoitikia Mama Amina ndo wewe 😂🤣
Ila hizii nyimbo jamani.
Ngoja niendelee na Mbosso tu mshamba_hachekwi