Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,818
- 233,249
Nimejaaaa hapaaa wajukuuu 😅😅😅😅... nimeagiza swalaaa tuje mpasuaaa .. ni vibe mwanzo mwishoo... 😅😅Babu Mwehu 😊😊😊😊😊😁😁!!
Dogo Hapa Hakuna mwajiriwa mpya ndio angekuwa saizi yako!!
Peleka huko kibamia chako! Kwa sauti ya sis akee Lovelovie
![]()





Mdogo wangu kesho karibu dodoma 😅
Kwa jinsi tulivokumisss swala hatoshii babuuuu!! Fanya walau mbuzeee😊!!Nimejaaaa hapaaa wajukuuu 😅😅😅😅... nimeagiza swalaaa tuje mpasuaaa .. ni vibe mwanzo mwishoo... 😅😅
Shika adabu yako kejanaaa.. nitakufutaaa kama kifutio.. kaaa mbali na Lovelovie 😠😠😠[mention]Lovelovie [/mention] x wangu kaachika![]()



nimekwisha 




Weee sheeeeendwaaaaaa!! Yupo kwenye hubaa zitrooo kinoumaaa!!![mention]Lovelovie [/mention] x wangu kaachika![]()
😊😊😊 lolote mtakaloo wajukuuu mie nitafanyaaa... mie na nyieeee tenaaaaaaaaaa sina nenoooo kabisaaaKwa jinsi tulivokumisss swala hatoshii babuuuu!! Fanya walau mbuzeee😊!!
Weee sheeeeendwaaaaaa!! Yupo kwenye hubaa zitrooo kinoumaaa!!!
😅😅😅😅.... asisogezeee puaaa yake kabisa vijana wa hovyooo hoyooo sana hawaaaa..Treiinaaa ashike adabu yake imshike na ashikamane Yeye na adabu yakee kabesaaa 😊!
Kwa taarifa yako😂😂[mention]Lovelovie [/mention] x wangu kaachika![]()
Koti jipya hili ila mwandiko wa zamani😂Mdogo wangu kesho karibu dodoma 😅
Nime kumiss jamani kukuona..