Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 44,395
- 96,702
Wakili wa ma youth wa jf, nalipinga Hilo for future dvpt of future generationsA
Acha woga wewe tumia pesa
Wakili wa ma youth wa jf, nalipinga Hilo for future dvpt of future generationsA
Acha woga wewe tumia pesa
Siwataki hao, nawataka hawa wanaolinda. Wasusi wa kazi gani mie.Teh teh....
Pale njia ya mabibo hostel Kama unakuja Mandela road kuna saluni nyingi wanasuka wamasai tena Wale wanaovaa mashuka.
Sent using Jamii Forums mobile app






Nimefika, huwa nasearch umeingia wapi nami naingia kuhakikisha hakuna anayekusumbua


Pambana but dont forget to liveWakili wa ma youth wa jf, nalipinga Hilo for future dvpt of future generations
Safi uduguu, cute wife ni mtu haswaa. Anaweza kuishi na yoyote na akambadilisemaa na mie nimepunguza heka hekaa.
Amani Amani.
Mkuu hujakutana na Watu, Wana igumu kumshinda legend Nichola Tesla.
Kabisa mkuuI got a new rule, if you reject ur nigga in public.
👉Then it's over dramatic
Lazima niangalie ulipoingia, ili kuhakikisha usalama tuUnakaba hadi penalty![]()
Siwataki hao, nawataka hawa wanaolinda. Wasusi wa kazi gani mie.
![]()




Ajahhaha sitaki kufaaKufaa sasa
Mabinti watanimaliza mkuu😅Aiseee🤔, Afu una tushauri tukaze. Kumbe we mwenyewe pambe tu😁🙄😂🤣
Tuna pambania Hali za maisha tu, maisha tuna yaishi Kila siku.Pambana but dont forget to live
Oooh kumbee?? Sikua najua, ndo wee unajuzaa.Madam I had unasoma engineering, hujawahi kuta Watu ni wazuri kwa - theory,
Wengine ku master plan tu
Some do both
![]()
Huyu binti mwacheni kwa sasa, tuna malengo flani.
Ahahah sawa nichagulie hapaA
Acha woga wewe tumia pesa


Acha Nichola Tesla wa bongi, niendeleze jahazi mpaka nifike 100 yrs🤣😂Mabinti watanimaliza mkuu😅
Lazima niangalie ulipoingia, ili kuhakikisha usalama tu

Nitaleta mrejeshoo hapaaa,




