Selfika na JF: Snap it. Show it

duh, pole na hongera....

kwahiyo huu ukame wa miezi 4 unaenda nao tena mpaka mwakani kusubiri mchumba😬

hatari.....
Kwakweli sidhani sitaki unafki last year niligombana na mpenzwangu nilifikisha miez 8 nilikuwa kwenye depression Kali lakin niliteseka mno mwaka huu nafikir sita sitoboi na nikitoboa nipo mahututi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kwakweli sidhani sitaki unafki last year niligombana na mpenzwangu nilifikisha miez 8 nilikuwa kwenye depression Kali lakin niliteseka mno mwaka huu nafikir sita sitoboi na nikitoboa nipo mahututi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
kabisa kabisa mpe kijana tenda achape kazi....

tunaishi mara moja tu!!
 
Kwakweli sidhani sitaki unafki last year niligombana na mpenzwangu nilifikisha miez 8 nilikuwa kwenye depression Kali lakin niliteseka mno mwaka huu nafikir sita sitoboi na nikitoboa nipo mahututi πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Aisee mpaka nakuogopa, tabia hizi Ni za mshamba_hachekwi na Dahan πŸ€”, au nyie Ni ndugu was ukoo mmojaπŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…